Wana JF kama ushawahi kuhisi seat yako ya moto kaa na mtu amevimbewa na mbaya zaidi anabeua harufu mbaya kama vile tumboni kumetokea muozo wa siku nne utakoma kuwepo pale na ukitaka kujua...
Habari wanajamvi najua wenye kufuturi teyari mmeshafutuli,na wengine mmepumzika wengine mnajifanyia shughuli mbali mbali.
Tuende moja kwa moja katika mada kama inavyojieleza;
Naanza na Mimi...
Yani unakuta limwanaume linanunua keki kabisa, linanunua vikofia vile vya watoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti maandalizi ya birthday yake, wanaume wameisha tanzania.
Kusheherekea ni...
Habari wakuu,
Nahisi pia wengi wenu mtakua mmekumbana na hii kero. Unakuta mtu hamjawasiliana kitambo,hata kukujulia hali ni ishu wakati wewe unajitahidi kila unapokua na dakika za kutosha...
Mwenzenu napenda magari.
Member hawa nahisi wangekuwa kama ifuatavyo!
Mshana Jr - Buggati Veyron supersport
Hajar - Ferrari
Shunie - Zenvo SIT
Mzigua90 - Aston Martin one
Mr Miller - Honda fit...
Mapenzi ya zamani raha sana mwanamke anatoka Kwao kabeba chakula kwenye hotpot hadi ghetto kwako
Hawa wa siku hizi sio romantic kabisa anachokibeba yeye toka kwao ni chaja ya smartphone tu,hata...
*WAHAYA kwa kujisifia imepitiliza,leo nimeskia hii Matangazo ya vifo.Ndugu Datius Rweyemamu wa Masaki anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Sophia Rweyemamu wa Oysterbay kilichotokea jana America...
Yaani nimeamini nikiandikiwaga message kwamba hakuna kupata mtu wakutulia naye jf nimekuja kukubali hapa nikupotezeana muda from now i will focus in my life.
Ipo siku Mungu atanipatia wangu ila...
MEN, LET'S CLARIFY THIS FINALLY:
When you marry a woman,
Her mother becomes your mother-in-LAW,
Her father becomes your father-in-LAW,
Her brother becomes your brother-in-LAW,
Her sister...
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa
Naweza tu kusema kuwa inasikitisha ile mbaya sana baada ya jana kufika dar nikitoka shule nilishangaa mwenyewe
Ile nafika mitaa ya sinza kwa remy...
Wakuu mmeamkaje,
Jana katika pitapita zangu, nikakutana na maoni ya GENTAMYCINE kwamba: Ukiona anamwambia mwanamke "Nakupenda" ujue ni kwa ajili ya kumpanga tuuu...lengo ni ku"hit & run"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.