Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu ,nawaaga wanaJF wenzangu wote kuwa natoka nje ya family yetu hii nzuri ya JamiiForums kwa miezi 9 hii iliyobaki kuumaliza huu mwaka.
Nitawakumbuka...
Mimi kama mwanaume tena mwenye uthubutu kwa mara ya kwanza kabisa ningependa kujitokeza kutafuta new couple ndani ya jf tutakayo match nae vzuri, kigezo ni kimoja tu awe mcheshi asie na jazba...
aisee duh pm ya mwisho ilikuwa september mwaka jana. sijui sasa nikamchokonoe nani huko pm? hivi wenye uzoefu nani huwa anakuwa shapshap kujibu pm? fanya kumtag nimchokonoe chokonoe huko pm.
Hii tabia naona imeota mizizi huku JF
Yani member karibu wote wa jf wanajifanya wanatumia simu za bei mbaya Mara iPhone,sijui Samsung, Mara Motorola sijui Huawei na nyinginezo
Watu wa JF...
Wadau;
Nimewahi kwenda katika hospitali na kuandikiwa vipimo pamoja na dawa na wataalam wa tiba.Sina shaka na uwezo na utaalamu wao bali ninahoji iwapo ni busara kufanyan background check kwa tiba...
I bet you were a cute baby and everyone around fell in love with you immediately! Happy Birthday to the girl who has stolen my and relato heart!
You have been so wonderfull to me and to My best...
Habari za asubuhi wapendwa wangu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Wengi wetu tunalalamikia kukaza kwa vyuma, ni kweli vimekaza lakini mbona akijitokeza mtu alainishe japo kidogo hamtaki...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo zangu.
Kwanini watu wengi wanapokuwa bafuni wakiwa na nguo ya juu na chini (suruali na shati) huanza na shati badala ya suruali?
Jichunguze wewe na mwenzi...
Watu wengine wajinga sana,
Jana nimekaa na jamaa mmoja siti jirani kwenye basi tokea tunaanza safari kutoka Dar ubungo terminal tunaenda Morogoro .
Basi Jamaa ananunua vitu anakula kula...
Happy birthday to ME.Thanks almighty God for another year nazeeka sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] #humble#charming#philanthropist#gunnerhardfan#
NB:Wazee wa chupa tutakua tunakiwasha mida ya...
Ebu dondosha ushauri wako hapa kwa wanafunzi wote wa elimu ya juu especially wale wanaopewa mikopo ya kimasomo(Ada) na pesa za kujikimu katika kupambana na hali ya maisha yaliopo mtaani...
Moja kwa moja kwenye mada Mimi ni kijana sijaoa natafuta mke humu jf sababu zakutaka wanawake wahumu wameelimika na wanajua mambo mengi ya dunia
Nawasilisha
Mwanza-Ukerewe
Muda huu limepeta tetemeko La ardhi, eneo la nansio Ukerew limedumu kwa sekunde kati ya 3-5 .
Nadhan tulio karibu na ziwe ndio tumelisikia vizur.
Wanaume ni viumbe ambao kiasili na kimaumbile ni wenye nguv(masculine). Bahati mbaya wale ambao wasio na misuli sana ndio udhaifu wetu. Kwa udhoefu wangu wa maisha, hii ni mitego yetu wanaume.
1...