JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kweli sasa nimegundua Sheria zimewekwa ili zivunjwe.Haya magari ya Serikali tena na Milingoti ya bendera baa mpaka usiku mkubwa inamaana gani jamani?Au tuchukue sheria mikononi?Hawajui tumechoka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa sasa moja kwa moja ukitaja neno mkeka utaeleweka unazungumzia kikaratasi(receipt) baada ya kubet, lakini vijana wengi wa sasa hasa dada zetu hawajui mkeka ni nini ama ukindu ama ukili. Wakina...
3 Reactions
10 Replies
5K Views
Haya ni maneno niliyoambiwa na jounalist wa ki Danish alikuja Tanzania baada ya American Embassy kupigwa bony 2008. Anasema alitokea kupenda kiepe, sasa alikuwa Posta Mpya akaona container enzi...
2 Reactions
3 Replies
693 Views
Kama kichwa cha habari ilivyoeleza, naomba nitunuku hili jamvi leo kwa mrembo ninaempenda sana humu Shunie. Namkubali sana, kila siku lazima nipitie comment yake humu, siawahi kuwasiliana nae PM...
14 Reactions
1K Replies
34K Views
Kapotea sana huyu jamaa. Mkimwana mwambieni namsalimu. Bitoz popote ulipo nakusalimu.
0 Reactions
12 Replies
695 Views
Nachukuwa nafasi hii kuwaaga, mie naanza likizo. Likizo sio lazima uajiriwe. Likizo ni mapumziko. Jitahidini nanyi muwe mnapumzika. Hata mumeo/mkeo uwe unampa likizo apate muda wa kutoka nje ya...
1 Reactions
12 Replies
895 Views
Kwa wadada: ingekuwa je kama huyu ndio best yako kapewa nafasi kuongea siku ya harusi yako. Kwa wakaka: Unekuwa wewe ni bwana harusi ungejisikia je?
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Ni wangapi kwanza wanazijumbuka? Hii ilikuwa bidhaa adimu boarding school. Enzi hizo ukienda Posta wanakuambia wanauza 20 tu kwa kila mteja
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema Hapo juu twende moja kwa moja kwenye mada. Utakuta asubuhi sisi akina baba ukitaka kumpa pesa za matumizi mkeo. Unampa ndani chumbani, mama akitoka pale wewe...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Hii sidhani kama inafaa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi nakumbuka kipindi hiko kama unakwenda kuchunga mifugo upo nayo mkononi kwenda kulima na kupalilia mazao lazima Kaseti iwe pembeni bila Kaseti kipindi hiko nisawa na kijana wa sasa bila...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine...
31 Reactions
496 Replies
21K Views
Scandinavia walianzisha utaratibu wa kulipa deposit chupa za pombe wakati wa manunuzi. Ukirudisha chupa unapewa hela yako. Uingereza wanaanzisha mpango huo mwisho wa mwaka huu. Nikiangalia huu...
7 Reactions
9 Replies
849 Views
huku kwetu bwana aloo,mapenzi yalipo zaliwa ni soo,kuna goma likipigwa kiboko,mwari hakirudi harusini,harusini, utakuta watu wakicheza sukuma mama sukuma,mwanangu sukuma,kidogo dogo sukuma,mwana...
5 Reactions
198 Replies
52K Views
Mke wa maana kabisa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
*Wako wapi wanaume majasiri kama huyu* *Wife :Baby leo nimeona iphone8 kwenye duka la simu mjini, ni nzuri[emoji7] *Husband : Vipi umeipenda *Wife: Nimeipenda sana mpenzi...
9 Reactions
6 Replies
2K Views
[emoji23] [emoji23]
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Ni wachache sana ambao hukubaliana na hali zao!!,wengi huishi kwa nyoa mara kwa mara nyelwe zinazochipuka kwa pembeni,,nashauri wapewe Bima za kunyolewa
5 Reactions
13 Replies
3K Views
YALE MAANDAMANO YA TAREHE 26 YAMEHAIRISHWA HADI 26 DECEMBER MWAKANI. samahani ili kupata taarifa lala uone kama ni ndoto. sijawahi ota ndoto halafu ikawa tofauti. usingizi zzzz NB:ni kuhusu...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Fikiri kwanza kabla ujatamani, usije kujuta. Waraghai wa mapenzi sasa hivi wako wengi sana, utasikia demu anakuingilia messenger nitumie nauli mie nipo mwanza nakuja dar kwa ajiri yako Kumbe...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom