JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana katika pirika pirika zangu za kuzunguka jiji la Dsm nikiwa natokea feri, kuna kituko kilitokea kikamuacha kila mtu mdomo wazi na minong'ono ya hapa na pale. Kuna kijana mmmojaa ambaye jina...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Ambao hamjalala nawasalimu, Kama kiulizavyo kichwa cha habari hapo juu,kama kuna member yeyote (asiwe me) anataka kugegedwa nami ndotoni akuje tafadhali.
4 Reactions
89 Replies
4K Views
Ijumaa njema na iwe kwetu sote, Leo asubuhi wakati namsaidia mama watoto kufua nguo (kama kawaida yangu pale nipatapo wasaa), mke wangu alikwenda dukani na aliporudi akanikuta nikiendelea na...
9 Reactions
86 Replies
6K Views
To cut story short, pitia profile yangu kuna uzi 2 nimeeleza kuhusiana na ndoa yangu... Thing is, nimeoa kwa kuwa nilikuwa nahitaji kukaa na mwanangu, mwanamke upendo ulishaisha kitambo, ni...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Tupia hapa uwongo wa kumwambia umpendae / rafiki sikuku ya wajinga tarehe 1/04/2018. Ili nasi tuweze ku fowadiii.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Achana Na hii kitu wanaume tunaita "A wife material...!."
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukiwaa partner wa mwanasiasa inabidi ujifunze kuwa na tabasamu la bandia mbele ya camera. Hata kama mligombana usiku kucha. Sasa bibie yule kama kila siku wanajitokeza wanawake wenye madai ya...
6 Reactions
125 Replies
4K Views
Wanawake wa sikuhiz cjui mmekuwaje. Et bila makeup hawez tembea barabarani.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Hivi inakukaje mtu anakunywa pombe anagombana na familia, anagombana na marafiki,anasababisha ajali lakini bado pombe aachi. Yaani haya maneno ninayaandika huku nikiwa nimeshika beer yangu ya...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Wahenga wa kike mnakumbuka haya! Magauni ya redimedi! Nguo za sare sare(sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake mzegua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]) Moka nyeupe kwa nyeusi! Soksi...
12 Reactions
217 Replies
10K Views
Fanya mtongozo wako kwa mwanamke Wa ndoto zako uwe Wa mafanikio! Najua wanaume wengi tunapenda kuwa na warembo ila wachache hufanikiwa! Usiwaze leo nakupa mbinu ambazo utasahau mitoso na lugha...
9 Reactions
102 Replies
12K Views
Habr jina nzuri la mtoto wa kike ni jina gn lenye kuendana na J
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Naombeni kujua wadau hii imekaaje maana wakristu tunaambiwa tusile nyama siku ya ijumaa kuu. Kuna samaki nimepika jana apa sasa nikimuacha ataharibika maana sina fridge. Msaada wa haraka...
1 Reactions
44 Replies
13K Views
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndio maana akili zake nusu kaputi.
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Aman iwe nannyi wapendwa katika bwana Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu Imekuwa ni kawaida sana kila nipitapo unakuta mtu kafungulia saut ya juu kabisa huku ikisema JE HUU NI UNGWANA...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ni miaka mingi sana imepita ila nakumbuka kama vile ilitokea jana tu. Ni siku ambayo yalitolewa matokea ya mtihani wa darasa la saba. Kwa miaka ile enzi ya mwalimu shule za serikali ndio zilikua...
5 Reactions
8 Replies
877 Views
Dada mange please hid my Idiii (Id)! Hili limekuwa neno maarufu sana huko insta na kwingine, ambako infomer wa Mange wamekuwa wakimuomba awafiche mara wanapompatia info yoyote iwe ya kweli ama...
1 Reactions
14 Replies
853 Views
Harare,Zimbabwe Dereva wa basi katika hospitali ya vichaa ya Bulawayo Mental Hospital iliyokuwa katika miji wa Bulawayo,Zimbabwe alikua akiwasafirisha vichaa 20 kutoka Harare kwenda...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hutu jirani yangu aliyekuwa analalamika vyuma vimekaza leo anawacheka wanaolia na hali ngumu. Kumbe mpwa wake anaefanya kazi kwenye taasisi nyeti amempigia pande la kumfundisha mapishi mtoto wa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom