JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Najuaa itachoma kama pasi lakini mkubali mkatae wanaume wanaojielewaa na wa maana wapo PM ,sio hawa nguchiro tunaokimbizana nao na kuchambana nao kwenye thread, mwanaume 24/7 yupo active ukipost...
1 Reactions
216 Replies
11K Views
Ule mwendelezo wa Wanachma wa cha mapinduzi kuipenda kilabu ya Yanga inazidi kujidhihirisha, na awamu hii kuna tetesi kuwa billionaire aliyejizolea umaarufu siku za hivi karibuni Dr Luis Shika...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanabodi,habari za Jumatatu! Tukiwa tumeianza wiki kuu kwa ajili ya hitimisho la kipindi cha Kwaresma, jana Jumapili( Matawi) nilipigwa na butwaa. Nikiwa mmoja wa waumini niliyehudhuria ibada...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Huyu kaka nampenda sijui namtamani ila ndo vile akiweka picha yangu dp ananiburudisha sana. Baby nakusubiri urudi tuendelee. Yours S....n
32 Reactions
779 Replies
46K Views
Yaani avatar yako imefanana na ustaarabu wako humu ndani ya JF. Kama iyo avatar ni muonekano wako na haujaolewa naomba niwe mumeo tafadhali.
8 Reactions
532 Replies
19K Views
Habarini vijana kwa wakongwe! dimaa @emmyta Mabibi kwa mabwana! Inna mshipa Waliooa na bado wapowapo! @Darby saint uvuga Waliolewa na wenye madanga yao! Numbisa Mama Sabrina Tumsifu Yesu...
10 Reactions
300 Replies
13K Views
Hapa sijaongelea afya njema, No . kwangu mimi natamani MKE MWEMA.
6 Reactions
93 Replies
4K Views
Wengi tunamjua kama maserati, kiukweli ni binti mdogo Mrembo mstarabu mcha Mungu na mwenyewe kiu ya maendeleo zaidi Leo baada ya kutumia wiki moja hatimaye nimefanikiwa kumshawishi kukubali...
6 Reactions
596 Replies
42K Views
Tokea juz nmekua napigiwa sim na hawa mabint kwa speed ambayo nahis ni sabab ya skukuu... Hapa nyuma,niliamua kwakwel kuya cancel makoloni yoote sabab niliona hayana tija,..ni bora hzo pesa niwe...
0 Reactions
14 Replies
962 Views
Habari za jioni wakuu... Hii mada inawagusu dada zangu ambao wanapenda kupiga vimizinga vidogo vidogo ikiwemo kuanzia elfu kumi kuja chini. Nasema hii hali ikome maana wengine mnatupa shida ya...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Japo maneno hayo hapo juu jana maana nzuri ila kiukweli pombe ukiinywa kistaarabu inaleta faraja sana, kwa mfano mi nikinywa najisikia kumsamehe yeyote aliye nikosea hua naanza kuona kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mda wa kuchangamkia fursa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
To be Honest i hate teachers labda ni Madam Mmoja Pekee aliyenifundisha shule Moja ya secondary Huko Moshi nilikuwa Nampenda.....Alinitetea na kunijali katika kila hali hata katika ofisi ya...
3 Reactions
150 Replies
7K Views
Muone jamaa huyu alivyomvivu
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekaa hapa kibarazani na mbalamwezi hii nikasikia upande wa pili huko kuna watoto wanapigizana kelele Yanguu,yanguu .... Nikataka nijue nini hiyo basi nikasogea hadi walipo nikamkamata mmoja...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Hivi mfano ww unaejiita Mario Unagundua kuwa bi mkubwa wako ndo vile anadoo na kijana mwenzio unajiskiaje???
0 Reactions
4 Replies
614 Views
Wale fans wa be like bro, tukutane kwenye uzi huu kuweka meme kali za bro
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaaam..... Wakuu katika pita pita zangu katika kwa wataalamu was dini nimekutana na hili.. Eti kwa kuya mtumiaji was muda mrefu wa internet kwa siku kuna pelekea mtumiaji kupata au kukumbwa...
0 Reactions
46 Replies
3K Views
Sultan ni rafik yangu kwa muda mrefu sana yan nimesoma nae chekechea mpaka darasa la 7 nikasomanae sekondar hapo ndio tukatofautiana yeye kaendelea na masomo ya juu mimi nikaingia kwenye mishe...
1 Reactions
3 Replies
535 Views
Back
Top Bottom