Enzi zetu Daftari ya Mazoezi ukigeuza nyuma lilikuwa na:-
Table hadi 12x12
Kubadili Centigrade Celisius kwenda fahrenheit
Uwiano wa vipimo Kilomita, Hektomita, Decimita, Sentimita n Milimita
Za...
Heheheheee heeheeiiyaaaa.....
Waaalaaaaaaaaaahhh
Leo ni alhamis na ndo kumekucha hiviii. .... kila mmoja... soma, sikiliza kisha pata kijembe chako. Kila mmoja anacho chake.
Nawe kana...
Salute,
Naskiaga sana watu wanasema, mimi namiliki banda la nyumba , ni nini na nini kinatakiwa kuwepo katika nyumba ndo tuiite hii ni nyumba?
Nini chanzo cha huu msemo?
Wakuu kwa yeyote atakayemuona member mwenzetu mamaya popote pale basi asisite kumjulisha kuwa anatafutwa. Nimejaribu kumwendea PM bila mafanikio. Muwe na siku njema
Hivi maisha yameguwa taiti kiasi kwamba hata miguno ktk mambo yetu imeadimika!
Yaani mdada anatega na kutulia tuli ka anasukwa nywele!
Mwingine ndo anachati kabisa mkuyenge ukiwa shimoni daah...
Nimejaribu kiwasiliana nanyi lakini hamsomi sms zangu and mmenizuia jukwaa la Complaints how can i reach you guys!?. Najua sio Ban ningekuwa na taarifa lakini please please return my Account there...
- "I couldn't believe it was her. It was like a dream. But there she was, just as I remembered her. That delicately beautiful face. And a body that could melt a cheese sandwich from across the...
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume hivi kuna nini kitamu kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!
Kuna ndoa moja hapa...
Hadi saa 4.15 usiku wa leo tarehe 13 March 2018, wafuatao ndiyo members 5 bora wa humu JF kwa kigezo cha kuwa na posts nyingi.
Nichukue fursa hii kwa niaba yangu mimi binafsi kuwapongeza kwa...
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kumekuwa na tabia moja ambayo ikiachwa badae italeta taflan kubwa sana maana kuna siku nina uhakika tutagawana...
Kama umetokea mkoa huu drope seven ulikotoka nia ni kujuana ili tuweze kutembeleana msimu huu wa holiday.
Wageni unaitaja sehemu unayotaka kutembelea[emoji7]
Happy birthday to Me - Money Penny
Namshukuru Mungu nilizaliwa siku ya baraka - International Women's Day
Truely I am a strong woman
Happy Birthday kwenu wote mapacha wenzangu mliozaliwa siku...
Kuna kaka hapa muda wote anajichukua snap chat yani kanikeraaaa. Hivi mwanaume unaendaje sehemu ya starehe halafu unajichukua snap chat jamani. Tabia za kike hizo kabisa. We kaka ulovaa tshirt ya...