JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yes... It is my birthday... Baada ya kukurukakara za maisha ya utoto na ujana... Hatimaye leo imempendeza tena Mungu kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu... Ahsante Mungu...
12 Reactions
115 Replies
15K Views
Wataalamu wanasema ukikaa na jambo moyoni bila kulisema linaweza kukuletea madhara hivyo natanguliza kumuomba radhi mlengwa kiukweli nampenda sana napenda awe mwenza wangu japokuwa najua ni ngumu...
0 Reactions
88 Replies
18K Views
kuna vile vimsemo viwili vya wanaume huenda kuvitumia saanaa NTAKOJOA NJE NAINGIZA KICHWA TUU Hii misemo hua inawacost sana wanawake
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Sukuhizi [emoji481] unakunywa mwisho wa mwezi ukipokea tu mshahara. Ukisahau kunywa siku hiyo hunywi tena mpaka next pay day. Siku hizi tunakunywa maji tu, soda unajifikira kwanza kabla...
3 Reactions
7 Replies
804 Views
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe! MUME: Amka twende jogging mke wangu? [emoji4] MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19] MUME: Hapana si hivyo jogging ni...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna huyu mwalimu alikuwa anaitwa Mwang'onda, alikuwa balaa, alikuwa anachapa kama hana akili nzuri na jicho moja alikuwa chongo, basi siku moja majamaa wametoka darasani wameenda toilet...
0 Reactions
1 Replies
764 Views
*Haya maisha ya ki bachelor bhana noma sana*. *unaweza ukatafuta dekio kama dakika 20 kuja kushtuka kumbe umelivaa* [emoji23][emoji23][emoji23]
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanawake Wengi kwa kawaida hawana hela ya nauli kwenda kwa wanaume wao. Lakini wakati akihisi upo na mwanamke mwingine mimi huwa sijui wanatoa wapi nauli utasikia tu anagonga mlango.
11 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwanza ninamshukuru Mungu anaendelea kunitegemeza. Nilikuwa bize na mambo ya kiroho,,,, lakini pia nilikua na mchakato wa Harusi na sasa nipo na mke mwema. Habari zenu wote kwa ujumla...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Majira Haya ya saa tatu kasoro usiku huu nikiwa nyuma ya keyboard ya computer yangu nikiwa natafakari mambo kadha wa kadha hili wazo limenijia kichwani. Nikachukulia kama jambo dogo ila naona...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Ni miongoni mwa nyuzi zinatrendi sana ila sijabahatika kuufungua. Wajuzi nambieni kuna nini umo ndani?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naitwa ANTONY ABEL mimi ni MTANZANIA mwenye amani, Nakushangaa ww unae ishi kwenye nchi ya amani na hauna amani. Hata kutaja KABILA lako unaogopa! poolee.
1 Reactions
21 Replies
1K Views
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji23] n kumaanisha ma moderator wamekua makini zaidi mwaka 2018 au ni uonevu ndo umeongezeka Kama nikiwa mmoja wa waanga wa ili tatizo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salam wakuu kwa wale wagonjwa walioko hospital...mwenyezi mungu awaponye kwa haraka wenye shida na mitihani mbali mbali maombi yetu sote kwa mungu ukimuomba kwa dhati atakupa uponyaji kwa haraka...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Fika hadi Ununio usawa wa mahaba beach kabla ya kufika lami ya Ghome sekondari hapa nyuma kuna kalami kanaingia kulia. Kwa kweli nilibaki na mshangao tu. Upande wa kulia wa lami ni bahari na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Sipendagi saaana kuingilia mambo za watu ila kwa hili binafsi limenigusa wacha niseme kidoogo. Katika pita pita zangu mtandaoni ndo nikakutana na link hii...
3 Reactions
53 Replies
12K Views
Kipya kinyemi waswahili walisema.... Lakini upya haudumu.... Labda kisitumike... Na kikikaa sana bila kutumika huchacha kwa vile vinavyochacha... Huharibika kwa vile vinavyoharibika na hufikia...
10 Reactions
51 Replies
3K Views
Niliwahi kumtembelea rafiki yangu mmoja aliyekuwa akiishi na wazazi wake maeneo ya Tandale Uzuri, Nakumbuka ilikuwa ni majira ya asubuhi hivi, basi nilipokaribia nyumbani kwao, nikakuta kiwingu...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Mahusiano hupitia katika vitimbwi,furaha,huzuni na wakati mwingine hadi mauaji. Yamkini ni nadra sana kukuta mahusiano yaliyoweza kudumu kwa muda mrefu mathalani muongo mmoja bila ya wanamahusiano...
5 Reactions
89 Replies
6K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili nimekuwa mtu mwenye personality inayobadilika sana kwenye maisha yangu.kuna kipindi nilikuwa mtu mchangamfu na muongeaji sana specifically kuanzia...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…