Rejea kichwa hpo juu. Nshawai kujiunga ba magroup ya watsap karib ma4 yote nkfukuzwa et sababu creply cmc au nakuwa outs xana. Jaman hiv vyuma alafu uwe busy na social networks c utakula mawe...
Habari za mida wana ukumbi .
kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mhusika wa interview anifanyie mahojiano ya live meaning majibu ya papo kwa hapo.
Nitajibu anything mtakachohitaji sikia...
Aisee wabongo Majuu ya London kweli choka mbaya......yaani aisee mmezichanga na kumleta huyu jamaa aje kuwatumbuiza???
Sishangai hata huo ukumbi wenu kama parking ya gari......
Alafu...
Ni moment gani ya utotoni ambayo uwezi kuisaushau kwenye maisha yako?
inawezekana ilikuwa ni moment ya kufurahisha sana au ya huzuni sana lakini mpaka sasa bado unayo akilini na kwa namna...
*HIVI USHAWAHI KUA NA STRESS YA mwezi January*.......MPAKA RAFIKI YAKO ANAKWAMBIA KESHO HARUSI YA DADA YAKE.......WEWE UKAMUULIZA
*MWILI UTALETWA SAA NGAPI*
[emoji23]
Kwani Evelyn salt uko wapi mbona unanitesa hivyo nifanye nini ili ujue nakupenda.
Siyo nakupenda tu ila nakupenda sana njoo Evelyn Salt tafadhali njoo najua upo nataka uelewe
Kwanza umeonesha una wivu na wasanii wa kike na umeonesha una mahaba na wasanii wa kiume. Wanawake huwa mna mengi ya kuoneana gere.
Juzi tu tumekuona ukiwa kimbelembele kuwapeleka Studio Babu...
Maneno ya Lemueli mfalme, ujumbe mzito ambao mama yake alimwambia ili kumrekebisha. Niseme nini, ewe mwanangu, niseme nini, ewe mwana wa tumbo langu, niseme nini, ewe mwana wa nadhiri zangu...
1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!
2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.
3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.
4...
MADAKTARI KWELI HUONA VITUKO
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,
Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
Daktari : Hebu vua nguo tuone,
Jamaa: sawa navua ila naomba...
Mwaka ujao utakuwa na miezi 11, kutokana na malalamiko ya wananchi kuhusu mwez huo kuwa hauna mtonyo hivyo sirikali imefuta mwezi january. Hivyo utaanza na mwez feb [emoji12] [emoji12] [emoji12]...
Unalikuta njemba limefuga ndevu kama beberu lkn wakimtwanga ngumi mbili tu za pua anatokwa na machozi kama toto la kike!, sasa kuna haja gani ya kufuga ndefu zote hizo? Chozi linapendeza...
Waungwana.
Ikiwa umebaini kwa ushahidi kabisa kwamba mkeo amezaa na kiongozi wako (Anaweza kuwa waziri, Mkuu wa mkoa, Rais,) na pia kiongozi huyo ndiye muajiri wako ambae anauwezo wa kukufukuza...
Jama kaaga kwa mkewe anaenda Songea kwa wiki nzima,kumbe kahamia kwa mchuchu nyumba ya pili toka kwake,..
siku ya kwanza akalala,asubuhi alipoamka akamua kuchungulia kwake kukoje,si akamuona...
1. Tabia mbaya kwa mke kumwambia mumewe... "wee una shepu ya kuwa na, mwanamke kama mimi" 2. Tabia mbaya ni nini: tabia mbaya kuwa na "mchepuko" wa nje wakati umeoa/umeolewa 3. Tabia mbaya kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.