Miaka kadhaa siku kama ya leo ndipo nlipoiona dunia.
Asante Mungu kwa zawadi hii ya Maisha
Herini ya mwaka mpya 2018 jf members na heri ya siku ya kuzaliwa kwangu.
*A teacher was teaching words and their opposite then he told Mutabazi to stand up and give answers !*
Teacher: What is the opposite of good
Mutabazi : Bad
Teacher: Come
Mutabazi : Go...
Furaha ni kitu ambacho hakishikiki. Furaha unaweza kuipata pale unapoamua wewe binafsi. Furaha hutafutwa na mhusika mwenyewe. Furaha ni utulivu ulio ndani ya nafsi ya mtu (Binadamu). Msingi wa...
Nduku sangu tuko habha kwa chambo mocha, Rhobi amefirwa na kaka yake usiku wa reo. Kufirwa si chambo la mcheso reo kafirwa Rhobi kesho ntafirwa mimi keshokutwa wewe, chusi Ghati arifirwa na papa...
MWAKA MWINGINE NDIO HUO UNAKATIKA, BAADHI YA MARAFIKI ZAKO WAMEOLEWA...WEWE ENDELEA KUSEMA, "ALL MEN ARE PLAYERS." - UTAOLEWA NA REFA BASI!*
Nyau wewe...
Sikuamini macho yangu.. Huyu jamaa ni tajiri mkubwa mtaani petu.. Sasa kaja na gari lake mpaka dukani, mlango wa mbele ukafunguliwa akashuka binti yake kuja kuomba chenji ya elfu tano dukani ili...
Niadje wana Chit chat..
Tuambie sehemu gani utakukuta mwaka 2018 na utakuwa unafanya nini mda huo, Binafsi mwaka mpya 2018 utanikuta in my bed ndani ya PAPUCHI natafuna papuchi ya mrembo...maana...
[emoji121]
WAKUU,
KASI YA NDUGU ZETU WA JINSIA YA PILI KUMIMINIKA KWA MASANGOMA KUTAFUTA LIMBWATA LA KUWAGEUZA WAUME ZAO MAZEZETA IMESHIKA HATAMU SANA KWA SASA,
KWA WANANDOA NA HATA WALE...
Wanabodi na wakuu, nimepata mshtuko mkubwa sana kwa wiki moja hii baada ya xmas kumekuwa na ukimya sana wa kada maarufu wa CCM mkuu stroke na baadhi ya UVCCM wenzake humu jukwaani
Naomba mwenye...
Habar wana JF
Bora tu makao makuu yahamie Dodoma sioni raha ya kubaki Dar .
Jana naingia dar nakaribishwa na mvua
Umeme hakuna
Joto balaa
Watu wa Dar karibuni mkoani mpate raha Kwanza sisi...
Kwanza unaepuka inzi wale waomba bia maana wanaogopa wakuomba bia wapembeni wataona
Pili kwakua Upo peke yako basi counter anakupa kampeni kwa story ikiwa eneo uliopo halina watu wengi
Tatu na...
Wakuu Hbr za Week-end...!!!!???. Km Kichwa kinavyosomeka, Ktk Mikoa yote ya Tanzania, Mkoa Wa Mbeya nimetokea Kuupenda Kuliko Mikoa mingine Kwasababu kadhaa, Ya Kwanza ikiwa ni Gharama ndogo za...
Naona mwaka huu Xmas na New Year wishes zinakuja kwa mtindo wa video clips. Kunachoboa video hio hio unatumiwa na watu hata 20!
Mimi wala sipotezi bundle langu kufungua wala kujibu naipita tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.