Alichokifanya huyu dadaleoo Mungu anamwona
Watu walishabet anahamaa chamaa alichoongea sawa na kuchana mikeka ya HT/FT Wale wapenzi was uziwetu wanaelewa zaidi maumivu yake NYUNDO JUU YA KICHWA...
***Hata kama una sura mbaya kuliko mimi, ukiwa na pesa wanawake watatafuta tu uzuri wowote toka kwako. Utasiki una alama nzuri za vidole (finger print) au kivuli chako kizuri...
***Nimeamua...
Achana nao!!!
______________
Nilimtembelea rafiki yangu Mlengule nyumbani kwake, mke wake akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama kibao..!!!
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake...
Achana na mastori na ma elimu ya JF ambayo kwangu haina kipimo japo siku hizi dah JF ya sasa sio ile ya kwetu. Hafu mods wa sasa ama invisible wa sasa sio yule wa kipindi kile. Halooooo wana mapoz...
Ninajua unajua virefu vya mashirika meengi -TANESCO,UDSM,CHADEMA, CCM, nk nk, lakini je wajua kirefu cha SUMATRA? Kamata kirefu chake leo hapa JF:
Saidia
Usafiri wa
Majini na
Ardhini
Tuokoe
Roho...
Kwa upande wangu ukifika msimu wa krismas huwa naikumbuka sana movie ya home alone (kelvin), mbwembwe za father christmas, nyimbo za kristmas zilizoimbwa na jimmy reeves (jingle bell)
Pamoja...
Maisha Ni mapito Na mapitio Kuna mengi yanatokea ambayo hubaki kama kumbukumbu kwa muda mrefu vichwani mwetu. Mwaka unaelekea ukingoni.
Tusimulie jambo lolote ambalo hautalisahau lililokutokea...
Habari zenu,
Katika maisha hasa haya ya kusaka warembo wanaume wengi tumejikuta watu wa kufanya mambo bila ridhaaa kupenda.
Mm si mpenz wa kunywa maziwa kabisa, lakin hapa mjini kuna mdada...
Huku umakondeni bana unaweza kuvunjika mbavu, kila mmoja anaongea kama nchekeshaji. Na mnavopenda kula nyie hata safari ya Buguruni Kkoo mnabeba wali kwenye rambo.....hahahaaaa. Hakyanani Ntwara...
Wanaume wa Dar mpooo,kijana Mimi mwanaume wa mkoani toka huku kanda ya Kolomije naja hapo nami nijifunze kula mahindi ya Kuchoma na chumvi,mambo ya chipsi yai na Pepsi bariiidi,jioni nipige slesi...
Hi ni siku ya nne mfululizo naoteshwa eti nimuoe lara1
Huyo lara1 mwenyewe hata siku moja sijawahi kumuona.
Nimemuuliza muoteshaji kwamba mbona nikisoma post za huyo binti ni kama anapenda sana...
01. Akikupigia usipokee, miscall zikifika 16 mtafute, mwambie umeua betri ya simu yangu kwa hiyo hata mimi kuna siku utaniua. Bora tuachane..
.
02. Kama uko naye mnapiga story. Mweleze "you don't...