JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ebwanaeeeh Wakuu juzi hapa tukiwa ndani ya Usafiri Wa UMMA Jamaa mmoja mtanashati na anaonekana mambo safi kidogo akiwa ndani ya gari akawa anajifanya anajua kila kitu ilmradi tu apate sifa baada...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
2 Reactions
3 Replies
1K Views
*Mtoto mmoja alikua anakula embe ghafla akaona funza katika lile embe..* *Kama nilivokwambia stori hii ina funza* [emoji12][emoji12][emoji12] na wale wazee wa kung panic heshimu jukwaa!
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mchapakazi,namiliki nyumba yangu mwenyewe na naendesha biashara zangu, natafuta msichana mrembo mwenye umri kati ya miaka 18-28 aniazime charger ya Nokia*...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa anaejua makao makuu ya BUZZ na CELTEL asaidie kuwaelekeza kina BABU SEYA wanataka kurenew line*[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Kumekua na kamsemo na mazoea ya kusema kuwa, wadada wa kichaga hawana miguu adhimu ya bia na kwamba wanatembelea mikono Kimsingi huu ni uongo na udhalilishaji kwani wapo warembo lukuki wa...
3 Reactions
99 Replies
28K Views
Kisa hicho kuna wa mama fulani walikuwa wana muongelea mwana mama mwenzao huku mitaa ya kwetu sweet coner mitaa ya, manzese kisa hiko mwenzao kapata mume gonjwa, mpaka anasema hana haja ya talaka...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
haya majina ya maeneo haya yananipa mashaka sana juu ya mawazo ya wazee wetu. na najiuliza ilikuaje wakafikiria kuita haya maeneo majina haya? je watoto wao sasa wanapokuwa wanaendana na majina...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Niko kwenye matatizo makubwa sana sielewi hata nifanyaje aisee Mimi ni kijana mchakarikaji kinoma ambaye...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
1.Smartphones 1.WhatsApp 2. Twitter 3.Facebook 4.Jamii Forums 5.Instagram 6.Daraja la Kigamboni 7.Mwendokasi 8.Mikoa ya . Simiyu -Katavi -Njombe -Songwe -Geita Mbowe wanafahamu kuwa bado...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
mwanajamii One hebu tujuze nini kimetokea ukabadilisha AVATAR,,.. sisi tumekuzoea kwa avatar ile original. au umebadiljka kitabia? weekend njema...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wana jamvi hbr zenu... Nianze kwa kujivunia kuwa Tanzania ni nchi yangu na ninafurahia hilo.. but yapo mambo machache ambayo kwangu yalinistaajabisha sana na kunishangaza kwa mwaka huu 2017.. la...
0 Reactions
5 Replies
635 Views
miss chagga, nina kila sababu yakukupenda. Nakumbuka mazuri uliyonifanyia ndani ya muda mfupi katika maisha yangu, nakumbuka sana sauti yako nzuri yenye kuvutia ajabu ikinishauri juu ya kujipanga...
9 Reactions
221 Replies
12K Views
Kama kawaida wabongo watu wa matukio; Dah! Maisha Yamebadilika Sana! baada ya Kufungwa Babu Seya, Sasa hivi kafungwa CHELSEA. Shikamoo Ulimwengu. Chelsea ndiyo timu ya kwanza EPL kufungwa tangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mi nimeusevu jina la mshkaji family friend so ata wife akiona last call anadhani ni mshkaji.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari zenyu..... Tangu mwezi huu uanze naona matangazo mengi ya christmass....mengi yakimuonesha huyu wanamwita father christmass......!!!! Na tangu miaka ya nyuma nimekua nikiona hii kitu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…