Wadau mmeona wenyewe tumefanikiwa kwelikweli, yani badala ya Noah sasa kila mtanzania anaweza kupata balimi saba.
Acha tulewe..., tulewe tuu..
Tuleeeewe...., tulewe tu!
Ila balimi zangu, kama...
Habari Zenu Wakuu Vipi Na Hali Zenu !!
"PINDI Ninapoamka Asubuhi Before ya Kifungua Kinywa[emoji370][emoji13][emoji13][emoji13] Napenda Kula MA Apple Or Ndizi Hiyo Ndiyo Ratiba Yangu Kila Siku...
Katika hali ya kushangaza Afande huyu alishindwa kabisa kuweka mguu sawa na kuishia kupepesuka mbele ya wakulu wake wa kazi
Hakika Ulabu hauwez kuwa Chai na hauwez mwacha mtu salama
Tuache ubahiri..unaombwa vocha unatuma ya jero.ukihonga Sana buku 30..khaaa.
Tuhonge jamani..starehe kubwa duniani kwa mwanaume Ni kutatua matatizo ya mwanamke.
Ndugu zangu
Da kiukweli Jana kuna kamsemo furani nimekasikia sikupata jibu aliyeusema alikuwa anafikiria nini wakati anausema.
Msemo wenyewe ni kwamba;
*"ukiwa unaoga na wenzako Jela...halafu sabuni...
Kampuni za kibiashara huja na maneno yenye kubeba hisia za mapenzi kwanini!!!
Maana super banco walikuja na kukuruka mwanangu bila kuchana godoro !
Coca cola wakaja na msisimko!
Tigo wamekuja...
Yaani siku hizi nikiona mara chura mara kiuno, mara nyonga wala sioni jipya - zilipendwa. Naomba muje ni mapigo mapya sasa hizi kanga moko baikoko kibao kata zimeshachuja kwanza nyonga zenyewe...
Wanaume tulipewa laana moja tu kuwa TUTAKULA KWA JASHO LETU
Hii laana nyingine ya KULA KWA MACHO demu anapokatiza tumejiongezea wenyewe. kwa viumbe hawa wa miaka hii acha tu laana inatafune
Suppose upo na binti mpya, yaani ndo mara yako ya kwanza kumchenjua.
Na kwa viwango vyako, huyo ni binti mrembo ndo maana umetumia kila mbinu kumpata na kumuomba akupe penzi. Simaanishi wale...
Kampuni za kibiashara huja na maneno yenye kubeba hisia za mapenzi kwanini!!!
Maana super banco walikuja na kukuruka mwanangu bila kuchana godoro !
Coca cola wakaja na msisimko!
Tigo wamekuja...
Kwa wale wote tuliotahiliwa(kuingia jando) bila ganzi tukutane hapa .
Vipi maumivu yake wakuu? Je wewe uliambiwa nini siku ile waliyokuja kukutahili kama kukutoa hofu au kukudanganya usiogope...
wana Jf
Nawaita dada zetu humu wenye kipaji kama huyu mama nampa dau la sh 100,000 MASHARTI AWE AMEJIUNGA JF TOKA MWAKA 2015 na athibitishe kuwa iyo picha yakwake. karibuni.
Wakati spidi ya kuendelea kusukuma guruduni Na maendeleo ikishika kasi,katika mjumuiko Wa kufukuzia tonge,sisi ndimu nzima ya DJ sepetu show,inaendelea kukupunguzia hasira,uchovu,Na mfadhaiko Wa...
Mimi nimesoma songea boys form V-VI kuanzia July 2000- May 2002. Kati ya vitu navyo vikumbuka pale ni kujirusha na TAMSALA (Songea girls), kula mayao, kula machuja na dona, kwenda kula wali "...
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious...