habari wanajamii natafuta mchumba wa kike ili baadae tuoane. vigezo na mashart
1_ awe uvccm
2_ awe na msambwanda wa kushiba nyuma yaani hata ukiweka kiredio nyuma kinakaa fresh bila kuanguka
3_...
Huyu jamaa anapost vitu vingi visivyo Na maana ila hapigwa ban!
Mara aweke avatar ya kike Mara aanzishe mada za kitoto wakati mwingine anaanzisha majukwaa mapya humu ila hajawahi kupewa hata...
Wakuu hatimae nimeingia Kigoma ila bar za huko hamna ata watu, nimekaa lake view mhudumu ni mmoja wateja hamna, hapa nipo metro ila wahudumu hovyo hovyo tu, wenyeji wa kigoma naombeni maeneo...
Habari za huku wanaJF,
Ni matumai mu wazima wa afya na kama kawaida mnapambana na hali zenu kama inavopasa.
Baada ya kupambana na hali yangu kwa muda mrefu nikaona sio vibaya nikienda kijijini...
Habari wakuu
Kutakuwa na shindano la fifa 17 kwenye ps3 na ps4 siku ya jumamosi Oct 28,2017 pale NEW MSASANI CLUB,
Shindano litaanzia kwenye hatua ya makundi na kisha mtoano, shindano litaanza saa...
```There are 4 people in life who are extremely difficult to give advice```
*1. A Woman in love*
*2. A Man with Money*
*3. An Arsenal Supporter*
*4. And a follower of a prophet*...
Vigezo gani vinatumika kuhalalisha huu usemi niliokuwa naambiwa na M walimu wangu mmoja wa primary mzaliwa wa kimanzichana?
Na wanaozaliwa dar na wakasoma hadi degree manake wanaresit sio?
Watu...
*Why do you put an expensive hairstyle on the same head that failed mathematics*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Jamani wadau vijanana wetu wa kibongo wameamua kujiunga na vyama vya kutetea mashoga
uko Uk London eti na kulaani serikali ya Tanzania na Africa kwa ujumla kwa kuwanyanyasa mashoga kwamba wapewe...
KUNYUMBUKA= Kushabikia kila jambo alisemalo kiongozi wako, haijalishi ni baya au jema.
BAKITA please ongezeni hili neno kwenye kamusi ya kiswahili.
Wazee wa KUNYUMBUKA mpo hapo....
Matusi...
*Ukiona Demu Kafika Ghetto kwako Kwa mara ya kwanza Af Hajipig Selfie Ujue Hilo sio Ghetto Ni #Zizi la Ng, ombe* [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji54]
Nimeamka alfajiri nifanye jogging kidogo nikakumbuka maandiko ya biblia MITHALI 28:1 (waovu hukimbia hata wasipokimbizwa;) nikaamua kurudi kulala.
Ninayaelewa sana maandiko niko deep kiroho...
Habari za wakati huu.
Mambo yanabadilika kutoka mda na mda mfano mzuri Jambo forum na kuwa Jamiiforum. Na mabadiliko mengi ila hili neno "mkuu" limegoma kubadilika...
Niaje niaje wana jamvi, ni poa sana eeeh, habari za mchana. Kama kawa mi hua ni mzee wa matukio na maisha yangu yangeweza kua bonge moja la movie ila poa tuu kipaji cha kuigiza sina so nitaendelea...
Maisha bhana.
Dsm ni ya wanaume wapenda vitorori kama vits passo starlet raumu funcago spacio ist na takataka kama hizo zenye engine capacity kama pikipiki za boxer au sanLg.
Mkoani Arusha na...
Hahaha,Vita ya makinikia haijawahi kumuacha mtu salama..!
Niko hapa delux bar nimekaa jirani na Kinikia moja linanichekea halijui kuwa mimi ni Smelter.
Nahisi kulichenjua lakini nadhani kama...
Habari zenu vigoli na vimpira??
Je UNGEPATA fursa ya kuwa jinsi tofauti na sasa ungefanya nini tofauti na waliopo sasa na kipi usingekifanya wanachofanya Jinsi ya sasa?
Pengine mawazo haya...
Samahanini ndugu mm naombeni ushauri
nataka kuanzisha biashara ya ps kuchezesha gemu
lakin ninamtaji mdogo sana
kutokana na udogo wa mtaji nuliokuwa nao nataka kuanza na ps2 na tv ya chogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.