Wale watakaonielewa kwa hii salamu basi waitikie.
Tumsifu Yesu Kristu.
Sijui nianze kwa kujiuliza swali, hivi siku hizi viongozi wa dini wamechoka kuenzi na kuzingatia maadili ya dini...
Nyie mamods kwanza samahani ni, naomba msinipe ban maana sijawahi kupata ban kwa hiyo naomba msinipige ban kwa hii sledi wala msiifute.
Sasa ma mod mnajua nini, Mi naona mnajitesa sana kukaa...
Tufahamiane status zetu hapa.
[emoji106] Single
[emoji173] In a relationship
[emoji39] Crushing
[emoji7] Married
[emoji31] It's Complicated
[emoji174] Broken Hearted
Karibuni.
Hivi, Tangu mwaka 1962 wimbo wa Taifa unaimbwa lakini Video yake haijatoka Kwanini? Inamaana pesa za Serikali zinaenda wapi? Hazitoshi kutolea shutting? Hilo Nalo Ni JIPU...
Hivi ukikaa siku bila kuongea na Baba mkwe unatumia masaa mangapi kula ndo umchukue mess mkacheze lede huku wafungwa wakilia kwa ukakavu ndo uingie chooni kuchukua taarifa stationary...
Wana jamvi kwema?? Ni hivi jamanii mgeni firm dar...nipo Arusha.... Maeneo ya Moshono so naomba wadau mnipe tips chache kuhusu arusha haswa sehemu za masoko kama k/koo, manzese ndo muhimu hayo.
Tchao
Jaman wana JF kama kuna mtu anauza gari yoyote ile iwe ina vigezo vyote vya serikali bei iwe kuanzia mil 30 na kuendelea lakini iwe sawa na mpya isiwe na matatizo kama kuna mtu anayo basi mwambie...
Jana ucku nimelala na pacha wangu tumefanana kila kitu sasa leo naogopa kuamka cjijui mm ndo nani hapa.
[emoji14][emoji14][emoji14]Jana ndo nilininiliu
.....[emoji13][emoji13][emoji13]
*TUNATOFAUTIANA* ...
Kuna watu wanaamka asubuh cha kwanza wanakuta sms ya;
*[emoji117]I LOVE YOU BABY!*
Na kuna watu wakiamka wanakutana na;
[emoji117] *BATTERY FULL REMOVE YOUR CHARGER!*...
Wazo la leo bora ukose fedha utakopa hata benki kulikoo ukose nguvu za kiume tamwazima nani wakati kila mtu anakazi nazoo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Bangi niliacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.