1.le baharia kasem anafikilia kuoa,
2.mtangazaji kasem baharia ni tajiri mkubw,
3.amegundua divorce ni mungu alimp nafas ya kupumzka ,
4.ana mpenda rose ndauka na ana wish ange date nae ...
Leo nilikuwa kanisani naongoza kwaya. Tulikuwa tukiimba wimbo wa ("mwili wangu ni hekalu la roho mtakatifu *2
mwili wangu ni makao ya yesu") kwa bahati mbaya ukaniponyoka ushuzi. Ushuzi ulikuwa...
Uzi huu maalumu utakua kila siku mtu yoyote anaelezea salio lake la M-PESA/TIGOPESA/HALOPESA/AIRTELMONEY, au BANK kwa kutumia EMOJI au ana update emoji yake kwa siku husika kuelezea salio lake...
habari zenu wadau. Leo nimemkumbuka Frank Mtao mtangazaji aliyejipatia umaarufu kweny kipindi cha Nani ni Nani, ktk channel Ten. Ni muda mrefu umepita bila kumsikia..mwenye taarifa atujuze. Ahsanteni
jukwaa hili kwa sasa limekimbiwa na wale wakali wa kutoa thread za kuondoa stress,tunawaombeni mrudi bana watu tuongeze cku za kuishi maana haya maisha full of stress.
nawasilisha
A pastor was praying for a demon-possessed man. He said, in the name of Jesus, what do u want frm this Man? speak up before I cast u out this moment! The demon in the man said, I want him to win...
Wakuu saidieni kuclear my six doubts. Kichwa kimeniuma nahitaji msaada wenu.
1. If all Nations in the world are in debt, where did the money go?
2. Why people say they have been working like...
Leo tutakuwa na LE MUTUZ, W. L. Malecela.
Mkuu ,heshima
kwako, nikukaribishe katika interview fupi ya Jamii forum.
Wadau mnakaribishwa kuuliza maswali, ila nina maswali machache kwake.
1:le...
TUKIACHA UHAKIKI VYETI, HUU HAPA NI UHAKIKI KAZI.
Hapo kale kuna kijana alifika kwenye kibanda cha simu, baada ya kulipia huduma alikwenda kwenye chumba maalum na kupiga simu. Mmiliki wa kibanda...
Nadhani alikuja na Lori ili afanye usafi ndani mwangu kwa sababu sijawahi kuona maishani mwangu usafi wa namna hii. Wizi gani huu unaiba mpaka vyeti vya shule? Mwizi gani huyu anaiba mpaka...
Kipindi nilipokuwa nasoma shule ya msingi tulikuwa na mtindo wa kukariri methali nyingi na ngumu halafu tunakuwa tunatambiana kwa kuulizana halafu mwingine anakamilisha.
Sasa ilizuka utani wa...
Hii ni changamoto inayotukumba vijana wengi sasa mfano mimi nipo kwenye uchumba sugu for 5 years na bado tunasomana namba.
Wife material wamekuwa adimu kama sarafu ya 500.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.