Wakuu habari za mda huu,
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu.
Kiukweli nimempenda huyu binti Neybright kiukweli nina nia ya dhati kabisa nimuoe. Ney popote pale ulipo naomba ujitokeze...
Nimefanya muamala wa ku deposit money Mbet kwa bahati mbaya haikufika na nikaambiwa hivi "Dear customer,your transaction is currently being processed.Please contact customer care for assistance...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Ilikuwa ni ndan ya jiji la London kwa huko London ilikuwa usiku lakini kwa huku Masharik ya Afrika ilikuwa ni mchana. Mdogo mdogo nilikuwa natembea kwa miguu...
Poleni na mihangaiko na wanajukwaa, baada ya purukushani nyingi, makinikia ,mara Arusha mara Nairobi, karibu upime uwezo wako wakufikiri kama bado haujaathirika na haya yote!
The test is simple...
Kuna mzee mmoja hivi kule kwetu kijijini kwetu alienda mjini kuuza ulezi kwa bahati mbaya akakutana na wezi wakamuibia ule ulezi nayeye kwa kurudi akajiongeza akaiba baiskeli.
Habari wanajamvi,
Leo nataka kuongelea hizi shikamoo ambayo ni salamu maarufu Tanzania. Nna miaka 26 nafanyakazi taasisi fulani ya Serikali, sasa ofisi yetu imeleta wanafunzi wa field/ practical...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Niko hapa dar nimeagizwa vitu kazaa na mshua mara yangu ya mwisho kufika hapa ilikuwa mwaka jana
Mwaka jana nilibaki...
YASEMEKANA BASHITE NOW NAWALAZIMISHA WATU WAMUITE MALIYAMUNGU BAADA YA UTENDAJI KAZI ULIOTUKUKA NA SIFA KIBAO KUTOKA NJE NA NDANI YA MIPAKA YETU.
IKUMBUKWE JINA HILO KALIRITHI KUTOKA KWA...
Saa hizi saa 2237 EAT nipo nyumbani naangalia tv,muziki kwa mbali...nje gari ipo garage ina half tank,mfukoni nina cash 300,000 na still sina mzuka wa kujirusha...miaka kadhaa nyuma saa hizi...
Husika na kichwa hapo juu the bold popote ulipo unakumbukwa sana kwa post zako zenye kuelimisha na kubuludisha pia kina D. B Cooper, Friday night robber,ule wizi wa almasi ufalansa ni baazi tu ya...
Husika na kichwa hapo juu the bold popote ulipo unakumbukwa sana kwa post zako zenye kuelimisha na kubuludisha pia kina D. B Cooper, Friday night robber,ule wizi wa almasi ufalansa ni baazi tu ya...
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusiana na hali mbaya ya kiuchumi na wengi kudai wanakula mlo mmoja kwa siku. Wataalam tumekaa chini na kungalia namna ambavyo unaweza survive kwa muda mrefu...
Kuna jamaa tulipinga eti mke nitakayee muoa lazima aje atembeee naye sasa kwa jeur nimemuoa dada yake nasubiria aje atembee naye sasa sipendagi ujinga mimi.