Ingawa darasa lilikuwa na idadi ya wanafunzi wachache lakini najua baadhi mpo humu.Ni miaka mingi nitafurahi sana kama mpo humu, tukumbushane ile label yetu pendwa za zambarau!karibuni.
Wakuu mimi ni born village ila nimekulia kote mjini na vijijini naomba leo tupambanishe maisha haya mimi nitakuwa wa kijijini wamjini mjitokeze na pia wengine wa vijijini karibu mnisaidie kutetea...
Kuna jamaa amejinadi anauza mishkaki ya paka na kuiuza Tsh 50 ila yeye na familia yake hawatumii. Kwa siku anachinja hadi paka wanne!!! Je kwa kufanya hivyo amevunja sheria yoyote? Nisaidieni...
*Mtoto alikua akibishana na baba yake akisema 1+1=11, baba akamwangalia kisha akasema vizuri sana,akamtuma kununua mayai mawili,mtoto akaenda kununua,aliporudi akamwambia nipe moja lingne mpe...
Mtu mmoja alinunua nyama 1kg ili achomewe. Ilipoiva akasema ipimwe tena na ikawa 3/4. Akauliza 1/4 imeenda wapi, akajibiwa imeenda na moto.
Akauliza, kwa hivyo nikipima 1/4 ikichomwa sitapata...
Wote ni wazima niende moja kwa moja kwenye mada.
Hutokea pale mama anapokuwa na mwanae katika shughuli fulani sherehe, ofisini, safarini n.k.
Mtoto hutokea kumchangamkia mtu ambae hata mama...
That awkward moment when the Serena Hotel waitress tells you that a bottle of coke is 20k and you start explaining and describing Coke.
"Madam, I mean Coca Cola.... not the alcoholic one, the...
Imeandikwa katika vitabu vyote vitakatifu ya kuwa "Ole wake augeuzaye usiku kuwa mchana" huyu hatauona ufalme wa mbingu. Kwa siku za Karibuni huyu Kijana mtakatifu Dr Ivuga amekuwa akikikesha na...
Huduma ya kuzimikia/kudondokea kinadada humu JF imesitishwa kwa muda hadi hapo mtakapotangaziwa tena baada ya jamaa wawili kuwazimikia njemba ambao wao walidhani ni kinadada,kinakaka wanashauriwa...
1. Wakioa wanabaki na jina lao la ukoo.
2. Matayarisho ya arusi hayawahusu kabisaaaaaa!
3. Wanaweza kula wanachotaka bila ya kuogopa kunenepa.
4. Hawana wasiwasi wakati wa tendo la ndoa kwa vile...
Je, ulishawahi kuwatishia washkaji kuwa utawaandika hapa JF?!
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga...
Leo mama yangu mzazi kaniletea zawadi nzuri na ya thamani, nikaipokea na kufurahi, nikamwambia asante.
Nikaipeleka ndani.
Nilpo rudi nikakuta sura yake kaikunja na anasema sijaipenda.
Hivi...
UTARATIBU mpya wa kufungua milango kwa kutumia teknolojia ya kadi maalumu katika majengo ya Bunge mjini hapa ulioanzishwa ili kuimarisha usalama umewababaisha wabunge wengi na waandishi wa...
Hivi wana JF naomba mniweke wazi kwa awle wanaofahamu uhalisia wa hili jina SHAROBARO!! manake sasa naona SHAROBARO anapewa sifa mpaka naanza kupata wasiwasi kama kweli hizo ni sifa zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.