JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana usiku nimeota ndoto ya ajabu sana. Yaani nimeota nikashtuka nikanywa maji ,nikarudi kulala nikaiota tena Eti nimemuota RRONDO ameoa. Kaja kwangu kunionesha picha za mkewe. Dada mweusi ana...
6 Reactions
85 Replies
3K Views
Jirani aliibiwa simu miezi miwili nyuma nikiwa kazini, akasema wote waliokuwepo muda huo waende kwa mganga wa kienyeji mwenye Tv asilia ili wamuone mwizi wa simu. Huko walinyweshwa maji ya dawa...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Nimesijui subscribe kwenye chit -chat mara nyingi bila kujua nasomba msaada nijitoe maanas inanitesa.
1 Reactions
6 Replies
803 Views
Ivi hii style ya kumwagina maji mara matope , mara bia , mara soda , wakati wa kushereheka siku ya B.day/kuzaliwa ni nini maana yake na haswa utamaduni huu tumerithi kutoka wapi ? (Ulimbukeni wa...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Ndugu WanaCC. Kwanza kabisa habari zenu...!! Cc wanaJf wote, Itifaki imezingatiwa. Pili, kwa kuwa mimi napenda sana kujifunza kupitia watu, sasa naomba niulize swali lolote juu yangu nami...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Mabingwa wa maloveeee wanautaalam wa maneno ambayo huwa yanatia chachu ya upendo katika mahusiano na kuongeza ugwadu kwenye mapenzi ebu ongezea hapa neno/ maneno lako ambalo ni maarufu kwako...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Job Interview. MP OFFICER:- What is your name? Monday:- M.P. sir OFFICER:- In full please Monday:- Monday Paul OFFICER:- Your father's name? Monday:- M.P. sir OFFICER:- What does that...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Habarini wadau na wapendwa wote wakati sio ukuta, Majira na nyakati Mungu ndiye hupanga nasi leo tunamshukuru Mungu kwa kumbukumbu ya kuzaliwa babuuu Mtambuzi ninamtakia kheri na fanaka na pia...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
IGP Simon Sirro akabidhiwa ramani ya nyumba mpya za Polisi zitakazojengwa jijini Arusha. Swahili Times on Twitter Hii Ina maana gani .... Sjaelewa hapa ......
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Ebhana leo katika pita pita asubuh hii si nikaona niingie dukan kununa vocha, nikanunua vocha za kama elf hamsin ili...
9 Reactions
142 Replies
9K Views
*Unamualika binti lunch alafu anakuja kwa maringo, etii ooh bby ata sitakula wakat natoka home nimekula kuku choma na chips........ww kwa ugentlemen wako unamnunulia whiskey ya jack daniels ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii huwanajiuliza kwanini Wanaume wazuri hawajui mapenz au kwakuwa ni wazuri wanajisahau wanatumia uzuri kama ngao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
4 Reactions
79 Replies
9K Views
*Jana nlienda kuazima pasi kwenye room ya jiran yangu ili ninyooshe nguo zangu, jamaa wakasema nikanyooshe kule kule pasi yao haitok nje! nikaenda kunyoosha!* *Leo amekuja mmoja wao kuazima mopa...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninawasalimu wanabodi wote, pia niwape pole kwa heka heka za kuhakikisha mnadumisha ustawi wa familia zenu na taifa kwa ujumla, Najitokeza kumtafuta member wa JF aitwae mangatara nina shida nae...
0 Reactions
10 Replies
933 Views
"Mwanamke anataka vitu vingi kwa mwanaume mmoja, lakini mwanaume anataka kitu kimoja kwa wanawake wengi"
2 Reactions
4 Replies
864 Views
Kisa na Mkasa na Salim Kikeke Media Player Cheza katika media player Osama kusakwa Osama Bin Laden Mzamiaji mmoja wa Marekani, anajiandaa kwenda katika bahari ya Uarabuni, na kupiga mbizi...
1 Reactions
5 Replies
27K Views
Igweee wana chit-chat.Namshukuru Mungu kwa kunipa siku nyingine tena ya kusahihisha makosa yangu ya jana kuna wengi walitamani kufika Leo lakini Mungu amerudisha pumzi yake. Ni hivi mwezi wa 6...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa kawaida, kauli za viongozi wa juu wakati mwingine huibua mzaha, kejeli na kuwa maarufu kutokana na kuvumishwa na media mbalimbali. Ni wazi kuwa kauli ya Rais na watu wengne maarufu...
0 Reactions
93 Replies
12K Views
Back
Top Bottom