Katika nijuze ya leo,
Wana JF ndio wameorodheshwa kuwa taifa korofi zaidi Duniani na mtandao wa Forbes!
Hili taifa, liimeliacha kwa mbaali taifa la North Korea ambalo limeshika nafasi ya pili...
Ndugu watanzania na wana member wezangu wa Jf ...
Habari zenu viongozi wangu..... Natumai ni wazima wa Afya ...Eeh bwana wacha niende moja kwa moja kwenye point ya misingi iliyonifanya mimi...
Habari wakuu,
Katika pitapita zangu mitaa ya Mikocheni nikiwa naenda Chuo(ndio mimi mwanafunzi ila msinisakame) nimekutana na wazee wanaong'ang'ania ujana.
Hawa ni wazee wa namna hii:-
1. Babu...
Kwa Kitendo cha kutudhalilisha Sisi wana Kanda ya Ziwa wote na hasa hasa Sisi Wajomba na Shangazi zenu ( Watani ) Watu wa Mkoa wa Mara ( yakijumuishwa ) Makabila yote yapatikanayo katika huo Mkoa...
Niko bega to bega na wewe lazima nikutumie hela ya bia mwambie nimemtukana sana lakini lazima nimlipie 10000 ya balimi mimi ndo mimi mtaani kwetu nawakilisha peke yangu mtaani.
Wakuu nimeona mende wawili wakifanya mapenzi. Nilitaka kuwamwagia dawa ya kuwaua ila nikawaza tena. Pengine wa kiume ashamfukuzia wa kike kwa miaka mingi na hajawahi kukubaliwa. Pengine huyu wa...
Huu uzi ni special kwa men tu hivyo kama wewe ni girl pita mbali kwa speen ya jet. Girls unaruhusiwa kusoma lakini si kuchangia.
Baada ya kutoa utangulizi.Mambo vipi wanaume wenzangu.Husika...
Kabla huu mwaka haujaisha lazima tumpate mwanachama bora wa mwaka 2017...Kwasasa hapa JF wajumbe maarufu ni hawa wanne...hivyo tupige kura kumpata Member of the Year!
> The bold
> mshana jr
>...
Dada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri...
Siku zinakwenda hazigandi.
Naona kama vile ni juzi juzi 1/8/2007 nilipojiunga na Mtandao wa JamboForums ambao kwa sasa ni Jamiiforums.
Shukrani za pekee zimuendee Nova Makunga ndie...
Aman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Sio kwamba nina beef na wanaume wa dar hapana sina bifu nao kabisa lakin sema hawa jamaa wanatuabisha sana wanaume wa mikoan
Kwa...
Ndio, Hamuniwezi
- Kuna watu wako tayari kuhakikisha napigwa BAN mara kwa mara na wametenga fungu kwa ajili ya kutembeza mlungula. Nasema nitadeal nao
Nawasihi kuachana na mpango huo haraka
Wakuu habari za asubuhi hoping you all well, uzi huu tutashare baadhi ya matukio yaliyotutokea kwa mwaka 2017 ,mi binafsi yapo mengi mfano dem wangu nliekaa nae miaka mitano akanisaliti karibia na...
Mimi muosha rungu aka DJ sepetu nataraji kuachana Na ukapera sugu.
Mwezi January Nina mpango Wa kufunga pingu za maisha kwa kumuoa binti Mrembo Wa kitutsi.
Najaribu kuona njia bora ya kupata...
Habari zenu wana jf, kwakweli leo nimeamua kuvunja ukimya, tangu nianze kutumia hii forum, nimegundua kitu kimoja kuwa watu wengi(almost 98%) wanatumia picha na Id fake. Lakini hilo halikunizuia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.