JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
moja kati ya kitendo ambacho hakina staili nyingi ni kujisaidia haja kubwaa yani ukileta bwebwee kidogo tu unakunya pembeni
8 Reactions
54 Replies
7K Views
Ilipofika mwisho wa juma wakati wa kuiandaa sabato ulipofika, habari ikaenea uyahudi yote kuwa yule mwanamke msamaria amemwacha mumewe, kijana tajiri wa huko madale. Furaha ikasambaa uyahudi yote...
3 Reactions
8 Replies
887 Views
Kwanini wajane na wengi kuliko wagane?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama unavyoona herufi hizo ndio matamshi ya kijapan, just try to write it na uone how funny it will sound in Japanese.
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Maisha yangu yamo hatarini kuna mtu yupo juu ya paa amevaa sura ya ngedere..naogopa kutoka nje nikaripoti serikali ya mtaa.ni Mungu tu ananilinda hapa.
0 Reactions
10 Replies
867 Views
Pasipo na Shaka my wazima nyote...me mzima kabisa naendelea kurutubisha ujana..kuna mtu naona kanikumbuka humu imenibidi niitafute paswed tena.... kitambo SNA siingii tena humu kuchangia but...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Leo asubuhi kijiweni katika mishemishe zangu za kusaka ‘mpunga’ nilipopigiwa simu na dada anayekimbiza mtima wangu siku zote. “Hallow baby,” nikaitika. “Uko wapi honnie?” aliuliza kisha akaendelea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Unajua kuwa neno UVIVU ndio neno pekee la kiswahili ambalo hata ulisome kinyume linabakia kuwa na maana ile ile? Tufanyeni kazi tuache uvivu wadau!
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Na yule mke wa farisayo wa mawinguni akaondoka na kuacha fahari za mumewe na kwenda zake kuolewa na msamaria masikini. Wakazi wa galilaya wakastaajabu jambo hilo huku wakijiuliza ' limekuwaje...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana harakati wa JF naamini mko poa na hii wikiendi. Leo ni mwaka sasa nimetimiza tangu niingie rasmi katika mtandao huu, Mwanzo nilianza kufahamu huu mtandao mwaka 2012 lakini nikawa bado...
0 Reactions
8 Replies
658 Views
Wajuzi wanadai mwili wetu una maji 90%, na ndiyo maana naamini kabisa Bw. Ray Kigosi yuko sawa kabisa alivyotuashauri na kusisitiza tuwe tunakunywa maji mengi yanasafisha mwili..! Picha kKabla...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Nije moja kwa moja kwenye point ni hv kwa kuwa neno MKUU limezoeleka sana hapa Jf sasa unajikuta unatumia pia ktk kutongoza na kuonekana huna swaga kabisa "Nakupenda sana mkuu'[emoji3][emoji3]
6 Reactions
49 Replies
3K Views
vijana wa bongo kufika chuo na miaka 20 na zaidi wakati nchi zlizoendela wanafka wakiwa bado hawajafikisha huu umri hali mbaya zaidi ni wazazi wa enzi hizi kulea watoto katika mifumo ya kitaaluma...
0 Reactions
5 Replies
931 Views
msaada anayejua sumu inayoua bila maumivu
0 Reactions
10 Replies
1K Views
LIKE ni nini hata itengenezewe uzi? chanzo cha makapuku nacho kilikuwa ni malalamiko ya mtu kuibiwa likes sijui like zake zinapungua. kuna uhusiano wowote wa nyumbaji kwa watu wanaofikiri kwa...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
5 Reactions
184 Replies
11K Views
Suti ya jamaa hapo, nazipenda sana hizi suti, ni fundi yupi naweza mpata anishonee??
8 Reactions
53 Replies
8K Views
MZEMBE BAADA YA KUKUTANA NA REHEMA. MZEMBE ; Mambo Rehema? REHEMA ; Poa!! MZEMBE ; Kuna kitu nataka nikuonyeshe!! REHEMA ; Kitu gani? MZEMBE ; Twende chumbani kwako. (Wakaenda) REHEMA...
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo sijui nimeamkaje ila mnivumilie tu.. Huu ni Uzi maalum wa kusifia uzuri wa wanawake (kwa mwanaume na wanawake) na uzuri/u handsome au utanashati wa wanaume (KWA WANAWAKE TU) Nikianza Mimi...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom