Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana wa jukwaa
Husika na kichwa cha habal hapo juu
Iv ni kwanini ukipendwa sana lazima ulinge?
Na ni kwanini ukitokea sana kumpenda mtu anaanza kulinga tena...
Hii tabia ya mtu kuweka picha Facebook halafu anaandika hivi "Andika jina lako halafu uone picha ikitabasamu kukuangalia" halafu unakuta comments zipo 234k watu wameandika majina yao huku...
Jamani wanajamii forum naomba kujua eti msanii unapoitwa kwenye interview kwenye media kula hela unalipwa? Mfano kama Diamond alivyoitwaa clouds kuzungumzia inshu ya mtoto Wake kwa Hamisa
1. #BajetiyaMlalahoi Kile kishimo katika donati kitolewe, kinakula tu nafasi alafu iongezwe ngano!!! 2. #BajetiyaMlalahoi Vocha ya jero iuzwe mia nne...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Kuna vitu hapo kitambo vilikua vinanisumbua sana had baadaye nilipokuja kukua na kuvijua nilijishangaa sana kwakwel...
Habari wana jf ni miezi mingi imepita tangu mwaka uanze nmeona nianzishe uzi huu kwa nia njema kabisa ya kuwakumbusha watu mipango na mikakati waliojiwekea kuifanya ndani ya mwaka huu ili mwaka...
Asalaam alekhum!
Tumsifu Yesu kristo
Bwana Yesu asifiwe
Mambo!
Huku tukiendelea Na joto la weekend,kwa siku ya Leo,
Tutakuwa nae bibie Lara l.
Tunawakaribisha wote Na mjisikie
Amani Na huru hii...
Habari za usiku, leo nitazileta mbele yenu ndoto zetu sisi wanaume.Ndoto zipo katika mtindo wa picha.Katika kukuwa kwetu wanaume wengi pamoja na mimi tulikuwa na ndoto za kimiliki vimwali samples...
Mazungumzo aliyofanya Diamond na Rickross kwa zaidi ya saa moja yalizaa matunda na Diamond kukubali mtoto,ilibidi Rickross atumie nguvu za ziada kumbembeleza rafiki yake huyo mkubwa faida na...
A man was walking along the beach and found a bottle. He looked around and didn't see anyone so he opened it. A genie appeared and thanked the man for letting him out. The genie said, "For your...
Katika mchezo wa Tausi mganga nani ka
Kalumanzila la, lala salama ma, mama mzazi zi,
zizi lang'ombe mbe, mbele ya nyumba mba,
mbali na wewe we, wembe wa kucha cha,
chakula kitamu mu, Mungu...
Umefika wakati sasa kwa wanachama wa Jamii Forums ambao ni wenyeji wa Lindi
na Mtwara kukutana hapa na kufahamiana. Lengo na kupaza sauti zetu pale itakapolazimika,
kuelezana changamoto mbalimbali...