Kwanza leo asubuhi naona kama maaskari wengi wapo barabarani mpaka kwenye magari ya mwendokasi.
Nimefika job kazi haziendi kabisa, nawaza tu hapa juu ya Tundu Lisu..
Honestly kazi haziendi...
Wakuu nimehamia makazi mapya halufu ya chakula kizuri hunukia kutoka kwangu, na Kila ninaporudi kutoka kazini ckosi vpaseli.
Hadi kufikia leo hii nishaombwa namba yangu na weke za watu...
Kama ulivyosikia Mpenzi Mtazamaji...
Manji ana Chuma kwenye Moyo, Habinder Singh ana Puto tumboni, hivyo ukija kusikia Rugemalila ana Kokoto kwenye Ugoko na Malinzi ana filimbi kwenye ini...
Jana nilikuja kuomba support yenu kumtaka radhi ma baby mtoto mzuri hata miss world haoni ndani Moneytalk!
The good news ni kuwa ma mbebez kaona bwana wake niliteleza tu hivyo kanisamehe,thankz...
Waungwana tukizingatia kuwa utafiti wa hivi karibuni umeeleza kuwa watanzania hatuna amani, na binafsi nakubaliana na utafiti huo maana kila kukicha afadhari ya Jana, sasa katika kuisaka furaha...
Baada ya muda mrefu wa kuwa kileleni kama uzi wenye replies nyingi hatimae 'Makapuku Forum' wafutwa kwenye ramani na uzi ulioshika kasi siku za karibuni 'Uzi wa kupeana Likes'.
Hongereni sana...
Hili bango haliwahusu men Bali wadada Na wasichana warembo walio charming beautiful intelligent
Wanaokwenda Na wakati watafutaji wasomi wapenda burudani wenye
Mwamko Wa maisha wanaojipenda...
Binafsi ndo sehemu maalumu yakujua IQ za watanzania,ndo sehemu maalumu yakujua umbea wa serikalini,michezo na burudani,sehemu ya kujifunza majibu ovyo na chaya.
Ndo sehemu ya kujifunza Tanzania...
Kwa nini mnawanyanyapaa na kuwatesa watoto wa kambo. Na bado wengine awataki kuwaona hata ndugu wa mume wafike kuwatembelea nyumbani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asalaam alekhum!
Tumsifu Yesu kristu
Bwana Yesu asifiwe
Shalom
Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa Neema ya uhai Na afya njema!
Kwa wale wagonjwa na matatizo kadha tunawaombe mwenyezi...
Mabibi Na mabwana habari yenu
Leo tuna furaha ya kumuhost Mrembo Wa jf Bible HusnaThebosslady!
Lengo la show hii ni kujifunza kuelimika Na burudani
Tunaomba ushirikiano Na nidhamu
Katika show...
Jamani naomba niwambie kitu!
Sijawa kumuona huyu dada ila huwa nahisi moyoni mwangu kuna chumba kipo wazi kwa ajili yake ni hayo tu! Kama anasoma atambue hilo kuea chumba chake moyoni kipo wazi...
Mwanamke anaomba hela kila Siku afu umemsevu *MY LOVE* [emoji51]
[emoji41][emoji41][emoji41]kwanin usimsevu VICOBA[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah napenda kuwasalimu marafiki zangu wote humu katika hili jukwaa
Nataka kuelezea kidogo kuhusu siku 4 ndefu za kifungo cha humu jukwaani JF baada ya kuenda kinyume na utaratibu
Sikufungwa...
Nadhani kila mtanzania ana matumaini ya kumiliki Noah. Mimi Noah yangu nilitamani sana siku nitakapo pewa iwe ya rangi ya silva halafu nyuma niandije maandishi long live jpm.
Je wewe ungependa...
Habari za usiku wadau.Hivi sasa ni saa 5:00usiku kwa saa za Afrika Mashariki.Shemeji kaanza kunitumia msg nikamjibu naona anaendelea tu anadai anataka kuchat na mimi.Cha kushangaza msg zake korofi...
Hivi uwa ni kwanini mwanaume ukimtukana kwamba yeye ni "demu" inaumizaga sana kuliko matusi yoyote wakati wanawake ukimfananisha na mwanaume ni kama wanaonaga umewapa vyeo?
blame no body