JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hi ladies and gentleman my name is Muosha rungu Na Leo tumebahatika kumuhost,the Queen of mr smart911 the one and only mahondaw!! Please don't kuingilia ili tupate kitu kitamu At the end you will...
2 Reactions
44 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Unaweza kuGombana na MTU sababu ya mtu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wapendwa wa mungu Husika na kichwa cha habar hapo juu Wanawake wa kanda ya usukuman yaan wasukuma ni watu wenye hekima sana wapole na wavumilivu na wenye kujituma sana, kama una...
6 Reactions
83 Replies
13K Views
*Umebanwa na tumbo la kuhara, mara paap! Chafya hii hapa* _My friend hapo ndo utawaelewa wahenga waliosema Mshika mbili moja humponyoka!_...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini wadau Kwa wale single humu JF, ni kwa nini hatuintergret kwenye PM pia, sababu nataman laiti mdada mmoja angekuja PM aniliwaze jotokali, ila wapi!! Badilikeni jamani, hem wadada njooni...
0 Reactions
10 Replies
950 Views
*NJIA 4 ZA KUFIKISHA HABARI HARAKA* 1. *SIMU* 2. *REDIO* 3. *TV* 4. *MWANAMKE* - *Hiyo namba 4 ukitaka ifike haraka zaidi mwambie nimekwambia wewe usimwambie mtu mwingine*...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Familia ilipata nyumba kwenye flats, wakijaliwa watoto watoto wawili, baba alipata mchepuko kwenye flats zile zile ni mdada mwenye career yake lakini yuko single. Yaani usiku mwaume akiona tu...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
wanaume wenye mkwanja mrefu jf Kulingana na utafiti wangu binafsi Tafadhali changia kwa upendo 1.Troll 2.saint ivuga 3.mshana Jr 4.Daby 5.smart911 6.mtimkavu 7.Ontario 8.kikulacho...
14 Reactions
640 Replies
55K Views
Wafungwa wa 3 wana mpango wa kutoroka, Wameamua kila moja apande juu ya mabega ya mwenzie na yule alie juu amebakiza Urefu kidogo kufikia dirisha, je watumie mbinu gani waweze kutoka?
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Mda huu nipo ndani ya basi la Abood naelekea Moro ajabu huyu bwana kaweka picha ya mavitisho tisho tu mara mziki ule wa Pepe kale ule wa vimbilikimo!Yaani ni tabu tupu! Naomba namba ya trafiki...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni siku nyingi sana sijatembelea huu mkoa wetu pendwa. Leo nimeingia Muheza mjini japo kuwa sio kwa heri Bali kushiriki mazishi ya Babu yangu Mpendwa aliyetuaga majuzi kwa kuumwa. Julius Sent...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi popoma nawapongeza sana mliogundua kondomu.Maana zinanisaidia sana njia nilizopita ni mbaya sana natamani nirudi kwa mungu ila nahisi sitapokelewa.Uovu nilioufanya hata shetani ameniogopa.All...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimeanza mimi kwa kusema Amen Tafadhali tuungane katika hili
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Hali zenu wanajf......habari za eid????[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Najua mtanishangaa sana lkn nimeshindwa kustahamili kuachana na jf nimeamua nirudi kijiweni. Ruhusa kunichamba...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? CHOKORAA: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee... CHOKORAA: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Haijalish ni kwa namna gan uhusiano wenu ulivyoanza na haijalish mlikutana wapi hata kama mlikutana facebook, inster au...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Katika pita yangu ndani ya mtandao fulani nimekutana Na mambo ambayo ni matokeo ya mwanamke kutoshiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu! 1.kusahau sahau 2.kupoteza hamu ya kufanya mapenzi...
4 Reactions
112 Replies
7K Views
habarini wapendwa ..natumaini mu wazima wote. Siku itakapotokea serikali ya Marekani ikakupa bilioni 15 za fedha ,halafu wakakuambia chagua; 1. Uwape kwanza vyeti vyako vyote kuanzia shule ya...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…