JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa Tiririka Mkuu.....
6 Reactions
108 Replies
3K Views
MISEMO YA WAKOSAJI🤡 Gari lenyele ni la mkopo Manzi kampendea pesa iPhone ni simu za showoff Chakula cha hotel hakina afya— junky Kila mtu atarudi kaburini mtupu Wenye pesa hawana furaha maishani...
4 Reactions
42 Replies
1K Views
Daah! Hii nchi hiii. Kuna muda nakaa naisikitikia hii nchi kwa namna inavyoendeshwa, Kumbe nchi nayo inanisikitikia jinsi ninavyoishi maisha ya kimaskini na utajiri upo. Si ajabu atakuja Rais...
0 Reactions
2 Replies
260 Views
GARDEN BOY IMPREGNATES THREE BIOLOGICAL SISTERS. According to reports, the Kenyan parents to the girls kept their daughters indoors and could not allow them to mingle with friends. The gardern...
1 Reactions
5 Replies
387 Views
1 Reactions
1 Replies
164 Views
Wakuu nadhani huyu mwamba kitu kama msouth ama Zimbabwe kwa lafudhi anatrend sana kwa clips zake huko mitandaoni nadhani ni gym trainer, kwa mwenye details zake amwage hapaa nina wasiwasi naee...
1 Reactions
26 Replies
843 Views
Kama ushawahi kuwa karibu na mtu mwenye kipara, Tafadhali sana naomba utupe sifa za hawa viumbe. ASANTE.
4 Reactions
11 Replies
565 Views
Wewe sio type yake kabisa ni vile tu hajaanza kuwa na kibunda cha maana. Akizipata...
9 Reactions
85 Replies
2K Views
Hawa wanaJF wana vipaji sana vya kuchekesha. Faana Moisemusajiografii na reyzzap . Hawa jamaa nimefuatilia posts zao wako vizuri sana kwenye comedy. Wanaweza kuwa standup comedians wazuri sana.
9 Reactions
83 Replies
2K Views
X unaweza kupost mambo yako nzuri ukaambuliaa kua comedy 😅😅😅 Vipi mdau wewe umeona jibu gani la utani likajuvunja mbavu? Tupia kwa replies
3 Reactions
14 Replies
456 Views
Nadhani heading mmeiyelewa . Asanteni na usiku mwema. So nimewahiwa na mtu ninayempenda. Mafree manson naombeni mniache,namuache kutumia watu(group la makafara ) niacheni tafadhali. Mniache kwa...
10 Reactions
59 Replies
1K Views
Niwashukuru members Wote kwa changamoto mbalimbali tunazovumiliana maana bila JF hakuna wa kuiambia Serikali Ukweli JF ni Jukwaa pekee ambalo kama unajitambua unaweza kuisaidia Nchi au Jamii Yako...
12 Reactions
24 Replies
570 Views
wakuu mambo ni vipi Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia. Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu...
12 Reactions
238 Replies
8K Views
Leo siku 26 mboni ya juu ya jicho la mkono wa kushoto linacheza cheza sana. Naomba tafsiri kwa wajuvi wa mambo haya. Enzi na enzi.
1 Reactions
14 Replies
100K Views
Kifaa Kipya '' CHOUCHA'' kinatarajiwa kutua Jangwani.. hakijawahi kukosa penalty https://www.youtube.com/shorts/4Gg77a4WWxw?feature=share
1 Reactions
1 Replies
337 Views
Narudi, ngoja niandae kisa kisha nikipaste hapa... Karibuni kwa shuhuda
2 Reactions
22 Replies
973 Views
Inakuwaje WanajamiiForums Watu tunatofautiana, kuna baadhi ya watu wametawaliwa na aibu katika kipindi fulani katika umri wao, hivyo huwafanya kukosa fursa/ vitu fulani katika kipindi hiko. Kuna...
3 Reactions
19 Replies
601 Views
Watu wengi siku za weekend huwa wanafanya shughuli tofauti wakiwa home au nje ya home. Vipi mdau wewe unapenda kufanya nini zaidi? Toa maoni yako
1 Reactions
15 Replies
863 Views
Si tumecheka na tukapika yule kuku ambaye nimekuja nae,🤣😂😂 maisha ni kujuana bana
7 Reactions
6 Replies
461 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…