mi siwezi mana atakua much know kama mange, mcharuko kama gigi, mashauzi kama diva, akiwa tomboy basi ni chemical, matusi hayamkauki mdomoni kama povu la shilawadu, aaaaaa usicheze na mademu wa...
Nikiwa kama trainee tumetoka field kufika ofisini kila mtu alikuwa na hamu ya kikombe cha chai. Mimi nikiwa mdogo kuliko wote na pia watu hawa ndiyo wa kuni sainia kitabu changu nilizama jikoni...
Hope mko vzr leo
hebu leo watajeni Members ambao HAWAVUMI LAKINI WAMO kwa sread zao yani utakuta kila jukwaa kapost lakini doroooo yaani wachangiaji na watoa like wanakua wachache...
salaam wana bodi
bila kupoteza muda nianze na mada moja kwa moja,ni kipindi kama wiki Mbili hivi kila nikiamka asubuhi nakuta mtu amejisaidia (mavi) mlangoni kwangu,na linakokera zaidi huwa...
kuna pipo zinajikutaga founder za jf nyingine sijui lejendare, nyingine kila kitu zinajua, nyingine it expert, nyingine love doctors, nyingine zimefika kila nchi kama vasco dagama, nyingine...
Watu wamekuwa wakijiuliza sana UPENDO maana yake nini. Je upendo ni nini?
UPENDO ni basi la mkoani linalofanya Safari zake Dar es Salaam kwenda Iringa na Iringa kuja Dar es Salaam
Kama una tafsiri...
Eti ngoja niende kwa mada, huyu housegirl wetu ananilazimisha tufanye mapenzi, mimi nimemwambia sitaki kila siku anakuja chumbani kwangu hadi anakera, msaada nifanyaje sasa?
*Jana nimegombana na shemaji yenu, akaniambia nibebe kila kilichokuwa changu niondoke basi kwa ustarabu nikabeba nguo zangu nikamchukua na yeye nikamuweka begani nikaanza kuondoka naye...
Mnamkumbuka yule Subira aliyekuwa anavuta heri? Siku hizi anavuta bangi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ..
Hate me at your own risk
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa wa jukwaa hili
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Kuna baadhi ya watu huwa hatujui tarehe zetu za kuzaliwa na sio tarehetu baadhi hata miaka yetu hatuhifahamu...
MWADILA MABESTITO WANGU WA UKWEEEEEEEEEE
Kauli mbiu yangu : "PAMBANA NA ADUI ILI KULETA BADILIKO"
Nimeamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kutangaza NIA yangu ya dhati ya kutaka kuwa
RAIS wa...
UTAMJUAJE WIFE MATERIAL?
Mchukue msichana umpeleke gheto halafu MPIME kwa kumpa jiko la mkaa lililo~lowana awashe moto mpaka manailoni yote yaishe huku akichambua maharage magumu ayachemshe yaive...