JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna vitu vinachekesha sana unaangalia muvie ya Kiafrica either Nigeria ama Ghana au Tz kuna kisehemu wanaandika 35 years later afu unashangaa mbwa aliye kwenye geti la nyumba inayoonekana kwenye...
6 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati wa utawala wa Jk wanaume hata mababu walikuwa wanaitwa Beibiii, kwa mahaba, kaja ngosha kaondoa hela mjini eti wanaitwa wahenga. Wadada, Mungu anawaona jamani.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hamjambo wakubwa .. Poleni kwa kazi ya kujenga maisha yako. Rasmi katika mada,hivi humu ni haramu kuweka picha yako halisi ? mim binafsi nimeweka picha yangu halisi ila asilimia kubwa hawajaweka...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
kwa wale mlio macho karibu tusome biblia. mda ya wanga hii
1 Reactions
11 Replies
740 Views
Hivi ikitokea Mh. Lowasa karudi CCM Mbowe atafanyeje? Je Wale mashabiki fuata upepo watasemaje? Na je inawezekana?
1 Reactions
4 Replies
4K Views
1. Waseme vibaya single mothers:: hili povu utafulia chupi..vitambaa vya meza.. blanket kwa wale wanaoishi sehemu za baridi..mapazia ya vyumba vyote.. na hata la kusafishia vyoo litabaki na la...
48 Reactions
374 Replies
19K Views
Hawa ni wapendanao watatu ambao ni mzee mwenyewe Saint Ivuga na warembo wake wawili, wasichana wazuri kuliko wote hapa JF relato na Inna. mwana Jf yoyote mwenye macho juu juu anapewa warning kuwa...
15 Reactions
125 Replies
8K Views
JF Kwenu, "Generally speaking, the best people nowadays go onto journalism, the second best into business, the rubbish into politics and the shits into law" Auberon Waugh. Haya ni maneno ya...
1 Reactions
1 Replies
509 Views
Wakati wa utawala wa Jk wanaume hata mababu walikuwa wanaitwa Beibiii, kwa mahaba. kaja ngosha kaondoa hela mjini eti wanaitwa wahenga. Wadada, Mungu anawaona jamani. Imekaaje hii?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Itifaki izingatiwe,,mabibi na mabwana nawasalimu. Nimekaa hapa nawaza,hivi kwa nini tunaishi?ni kwa faida ya nani?Tunafanya kazi ili tule,tuvae,tujenge,nk ndiyo kuishi...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Ukiwa form five shule ya serikali halafu uache shule mwaka mzima. Ukirudi shule utaendelea na form six, utarudia form five au utakuta wameshakufukuza shule? Na ukiacha shule halafu baadae ukiwa na...
0 Reactions
8 Replies
735 Views
Hii ndio DAR: Wizi STENDI Umbea MBAGALA Mapenzi BEACH Vibaka KARIAKOO Majivuno MASAKI Uchafu TANDALE Ushamba BOKO Ustaarabu KISUTU Ulevi MANZESE Chumaulete SOKONI Utajili IKULU Utapeli...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Watanzania tubadilike, Jana ktk pitapita zangu kitaa nikakutana na wana (washkaji) na kuanza piga stori za hapa na pale kumalizia weekend.Katikati ya maongezi mara gafla ikapita gari moja ndogo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nipo hapa ununio nawacheki tu Nipo na Wana nawapigia story za jf Ila jf raha hamniambii kitu nye Wa kishua
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi Leo nisiku yakipekeee nimempiga mzungu milioni 11Nipo nakunywa bia hapa tabata bima forty forty. Naombeni mnijulishe kiwanja kingine chenye watoto wakali wakuuu. Nikatumie...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
habari za usiku wakuu mara nimekuwa nikijiuliza mzee ni yupi kwa upande wa jf? 1.ni mtu ambaye kila post ujifanya mtu wa longtime kulog in jf 2.ni mtu ambaye upenda kuchangia na kusema jf ya...
1 Reactions
91 Replies
5K Views
Nawasalim, Kuna imani mejengeka katika jamii hasa ya kitanzania pengine na nje ya Tanzania kuwa vitu vya zamani ni bora kuliko vya kisasa! Mara nyingi tunasikia 'mziki ulikuwa zamani' au Dar es...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Ili kutunza kumbukumbu zetu vizuri kwa manufaa ya vizazi vijavyo nashauri tuwakusanye wahenga wetu wote hapa. mimi leo nimekutana na mhenga huyu maeneo ya kimboka buguruni...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom