JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari Katika kuzurura zurura humu jf nimekutana na tu vitu twa kunishangaza sana hasa hawa memba wa Kike humu: 1. Kwenye jukwaa la MMU, CHIT CHAT na CELEBRITY hapo ndio mpo active kuliko...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Toa Nguo nikukule... Vilaza tutawajua leo
0 Reactions
38 Replies
2K Views
Huwa ananifurahisha sana huyu jamaa.baadhi ya vimisemo ni .kunguru ni ndege lakini habebi abiria. .victoria ni ziwa lakini mtoto hanyonyi...
7 Reactions
259 Replies
116K Views
*Babu Anawahadithia Wajukuu Zake Hadithi* *Babu:*Tulipokuwa Vitani Tulitekwa Na Maadui, Nusu Yetu Waliuwawa Na Nusu Nyingine Walibakwa. *Wajukuu:*Babu Kwa Hiyo Wewe Ulikuwa Kundi Gani? *Babu:*...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale mabingwa wa kutoa malaani nadhani wanafurahi baada ya kuona fursa hii kwani itawakumbusha mbali sana.kwa sisi tuliosoma shule za uswahilini lazima tulipitia michezo hii. Weka malaani yako...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu Naomba niwatetee kampuni ya tiGO. Leo hii Watanzania wanapiga kelele kuhusu "Jaza ujazwe". Lakini Watanzania wamesahau kuwa uchokozi waliuanzisha wenyewe. Uchokozi huo waliuanzisha kwa...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Utakuta jitu zima limekazana Jomoniii Vepeee Hatareee Mnatuharibia lugha banaaa
3 Reactions
13 Replies
795 Views
.
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Ujumbe wake huu hapa kwa siku hii maalum kwakempende jirani yako kama nafsi yako...ungana na Jr katika siku hii maalum kwake kuwasamehe wote waliokutendea vibaya na kukukwaza nawe utabarikiwa...
6 Reactions
84 Replies
8K Views
Habari zenu, Hivi humu jf kuna jinsi ya kufanya usizione threads wala comments za mtu fulani??? Yani kuna mtu humu nikiona comments zake tu au threads zake nakosa hamu ya kula wiki nzima kwa...
2 Reactions
54 Replies
3K Views
Sijajua hasa kwanini kumekuwa na kejeli zinaendelea kuhusu wanume wa Dar wana nini hasa mpaka wamekuwa wa kutolewa mfano "Wanaume wa Dar" Ninavyofahamu Dar kuna wnume wa shoka kwelikweli, hata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Asante,Karibuni mabingwi wa kuchapua mh kuchapia mutupe michapio yenu 1:Twende sokoni- Twende chokoni 2:Ametoka kilosa- Ametoka kisola Aya Endelea nawe
1 Reactions
71 Replies
4K Views
Niko safarini Kampala niliamua kupitia Mombasa, kuna vijiji hapo katikati vina majina yanayofurahisha na kufikirisha mno .. Baadhi yake ni Chumbageni Chumvini Sitakishari Vijinga Sitaki dawa...
3 Reactions
65 Replies
15K Views
Mume alimpa talaka mkewe ,baada ya wiki moja baba yake mwanamke akafa,yule mwanamke akapewa urithi milioni 100 ,mwanaume kusikia ivo akampigia simu yule mwanamke akwamwambia "nina mimba yako
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dada Riama ally Umekuwa dada Mwema kwangu Namshauri Mzuri sanaa Pia Kazi zako Zinanikosha Ni.msanii pekee Usie Na makuu Mchamungu Na usie penda heka heka Allah akujalie Maisha marefu Inshaallah...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Nilienda kweny interview ya assistant accountant....mamb yalikuw hivi; Mr. Maswal; unaonekana umesomea kodi na forodha sasa inakuaje unataka kuwa accountant Me; huez kujua kias cha kodi bila...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Juzi Kati nilimpiga mpenzi wangu kwa hasira tu kwakuwa alinikera, Baada ya siku mbili kutoka tukio la kumpiga huyo mwanamke namimi nilibananishwa na kuchezea kichapo chenye afya. sasa Leo mama...
0 Reactions
56 Replies
3K Views
Ukiona hudaiwi na taasisi yoyote au mtu fulani katika jamii basi ujue huaminiki. Kwaheri!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefikia kujiuliza hili swali bila kupata majibu. Ni ukweli usiopingika kuwa Dar ndiyo sehemu pekee inayoongoza kwa; 1.Matangazo ya waganga wa kienyeji ambao wengi wao kauli mbiu yao ni "Dawa...
6 Reactions
41 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…