JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakui habari, Hakuna chanzo kizuri cha habari, taarifa na maarifa utaorodhesha hapa Tz bila ukaicha, JF, Miaka kadhaa ninakwama kununua gari kutokana na sababu binafsi, nakua na subra, Mwezi...
2 Reactions
67 Replies
8K Views
Za Weekend Wandugu, Naombeni msaada, nina Rav 4 Kill Time wanaziita. Last week nataka kutoka nayo nkagundua klach/breki imekua laini Sana, yaan ukikanyaga mguu wafika mpaka chini hata kama...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba kuuliza sehemu katika gari nissan caravan injini namba ka24834689x ambapo control box hukaa,nimeangalia kwenye dash board sijafanikiwa, naomba msaada
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu msaada tutani, ni wapi naweza pata fundi pump mzuri wa pump iliyofungwa katika engine ya 1HZ.? Pia ni wapi naweza pata kununua pump ya 1HZ.? Na bei elekezi inaendaje.? Na je zinakuwa ni...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari waungwana Naomba msaada kwa mtu aliyewahi kutumia Prado yenye engine 5VZ na 3RZ kwa safari za mbali kama Dar kwenda Mwanza/Kyela/Mpanda Ipi ni nzuri na kwa nini? Asante
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hii gari ilikua inatumika private hadi mwaka huu mwanzoni ndio imeingi kwenye biashara ya kukodishwa, ni nzima sana na haina tatizo lolote, inafaa Kwa biashara na kwa binafsi pia, inatumia Diesel...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, heshima kwenu. For the first time, ninahitaji kununua na kumiliki kausafiri. Niliwaza kuagiza gari kwa kutumia SBT coz naona wana magari mengi ya kuchagua at reasonable prices, na...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wakuu. Natumia gari aina ya Rav 4 kilitime engine 1790cc vvti. Baada ya kuiendesha muda mrefu kidogo maji yalikuwa yanavuja na hivyo ilichemka sana bila mimi kujua. Nimepeleka kwa fundi...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wakubwa nahitaji bodies ya Toyota brevis kwenye Nayo anitafute kwenye inbox nipo serious
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nina tatizo la fuel consumption iko juu mno. Halafu nikistart inavibrate Sana na hata ninapoendesha vibration inaendelea. Nimebadilisha plug mara kadhaa lakini haijasaidia. Ni Nini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Team naomba Msaada kwa mwenye uzoefu na Mercedes Benz ML 270 CDI (Diesel)kuchelewa kuwaka
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity. Hivi...
1 Reactions
179 Replies
19K Views
Baharini. Direct kwenye maada,Ni kwa muda mrefu sana nikimsikia Mh Rais wetu.kueleza Watanzania ni wanyonge na baadhi ya matamko yake yakionyesha dhahili Anamaanisha sisi ni Wanyonge . Nitoe rai...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wakuu? Kitaaluma ni automobile engineer, nimekuja kwenu kutatua shida zinazoikabili jamii hususan katika idara ya usafiri, iwe wa binafsi ama wa uma. Mimi ni mtaalamu katika nyanja hiyo...
1 Reactions
3 Replies
830 Views
Siku chache zilizopita niliomba msaada baada ya injini ya gari langu kusumbua,nimeamua kununua injini nyingine,msaada kutoka kwenu wadau ni kwamba,ni mambo gani niyazingatie wakati wa kuifunga...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu.., Samahani kwa usumbufu, najua mtakuwa mmelala saizi. Bila kupoteza muda wacha nieleze shida yangu. Natafuta bomba za body ya Canter urefu wa futi 8 na upana wa futi 5.8. Kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau nimetokea kulipenda sana hili hali na sina uzoefu wowote wa magari ninachojua ni cc tu na aina za magari naomba mwenye ufahamu zaidi kuhusu mazda demio anishauri hasa technical issues nisije...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
wakuu nmekuwa nkisikia kwa wapenzi wa magari kwamba kati ya subaru impreza wrx sti na mitsubishi evo ni gari za mabio, wapenzi wa rally tumalize ubishi kati ya subaru impreza wrx sti na...
2 Reactions
54 Replies
10K Views
umiliki wa gari ukiwa haujui chochote juu ya gari yako ni tatizo kubwa sana,wengi hawana elimu yoyote juu ya magari ni mwendo wa kuweka gear na kuondoka. ningependa kutoa nafasi hii kwa yoyote...
5 Reactions
110 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…