JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Sasa... Niko Bongo. Nissan yangu xtrail inahitaji services ya nguvu. Nimesikia Nairobi waweza pata spare parts za nissan xtrail kwa bei nzuri, mtaa sijui unaitwa Dar es salaam kama sikosei. How...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Shirika la viwango Tanzania TBS wametoa ilani kwa watanzania kuwa makini na oil hizi-ambazo ziko chini ya kiwango hivyo ni hatari kwenye magari yenu: 1. Motor oil ( Super plus SAE40) 2. Diesel...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari ya siku ya leo na poleni kwa misukosuko ya kuumaliza mwezi na maandalizi ya mwezi mpya. Nina gari yangu hiyo katika picha, ni Honda CRV model ya mwaka 1995, engine yake bado iko vizuri...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
A pure, rendered science-fiction; here’s the Mercedes-Benz’s environment-friendly, modern and cool SUV, the ‘Ener-G-Force’ which has been described to be the vision of an off-roader that, while...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Hali zenu JF! Yaani nmekua napata usumbufu kweli. Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri. Naomba alie nacho nikakipigishe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The 747-8 keeps its predecessor's humped shape, but is longer to allow for more seats and cargo space US company hopes longer, more fuel efficient update of its emblematic jumbo jet, will...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF Humu ndani naamini kuna wataalam wa magari. naomba msaada wa kujua tofauti kati ya model mbili za Toyota Harrier kuna model code TA-ACU15W na ACU15W. Nini tofauti zake na ipi ni bora...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
LimousinesWorld, a company building luxury limousines and executive cars for more than 30 years, has now made available the new Mercedes limousine, which enjoys a striking custom-designed interior...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom