JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
TRA imesema kuwa mwisho wa usajili wa pikipiki hizo kwa hiari unaelekea ukingoni. Hivyo basi, amewaomba ambao hawajasajili wafanye hivyo mapema ili kuepukana na usumbufu wanaoweza kukumbana nao.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kampuni ya Yamaha Motors imefichua kwamba inaunda roboti ambayo itaweza kuendesha pikipiki ambazo hutumiwa kwenye mashindano ya pikipiki. Kampuni hiyo kutoka Japan ilionyesha mfano wa roboti hiyo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mwenye Nissan punk linahitajika haraka,ila awe dar city0715378899
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Idadi ya majeruhi wa ajali za pikipiki wanaopelekwa katika taasisi ya mifupa Muhimbili (MOI) imeongezeka hadi kufikia 20 mpaka 26 kwa siku, sawa na asilimia 50 ya majeruhi wote wanaopelekwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Get ready for even lower oil prices August 24 NEW YORK Futures for a barrel of West Texas Intermediate crude fell below $39 a barrel early Monday -- a level not seen since 2009. Oil closed at...
8 Reactions
56 Replies
10K Views
Jaman nina tatzo pikipiki yangu ni honda cc 70 tatizo haina nguvu na plagi inavuja mafuta msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
WanaJF naomba msaada kujua bei ya gari Nissan Nivara hapa Bongo. Ni jambo la dharura sana. Tafadhali, nijuzeni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je, baiskeli hii ilitembeaje?
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu, Kwenye pita pita zangu, nimebahatika kupata pesa, nikaona sio mbaya na mimi ni ongeze foleni ya magari. Kimsingi nimeshaanza mawasiliano na watu wa beforward, ila kuna mdau kanitonya...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Habari wanajukwaa Gari yangu aina ya colora G ina tatizo la kujipandisha Silence na kujishusha, nimejaribu kuwapelekea mafundi zaidi ya watatu lakini bado tatizo linajirudia, tumebadilisha...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tafadhali kwa mwanajamvi yeyote anayemfahamu fundi umeme wa magari aina ya NISSAN kutoka UK ani inbox namba zake tuongee naye.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam ndugu zangu. Naomba kuulizia uwezo wa hii gari katika kusafiri masafa ya mbali maana nimevutiwa na ulaji wa mafuta(1.6L ingine size) pia bei yake si mbaya (mfano gari ya mwaka 2000 inauzwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ushauri kuhusu hizi gari ni ipi bora kati ya hizo interms of durability, uimara na fuel consumption nataka nichukue moja kwa ajili ya mizunguko yangu ya hapa mjini na mizunguko yangu ya mikoani..
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Hii ndiyo ultimate Machine kudadeki! Hii ngoma sio Mchezo! Wengi wetu tumezoea land cruiser 4*4 sasa hii mashine ni 6*6, yaani matairi yote sita (6) yanafanya kazi na mpaka sasa hivi tangu...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Wapi wanaweza kufanya programming ya funguo ya Nissan X-Trail 2005 na ni bei gani approx? Maana gari imekuja na funguo mmoja sasa naona italeta shida mbeleni. Ninaongela kufanya programming ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba ufafanuzi kuhusu haya magari tunayoagiza kutoka Japan! Unakuta gari ya mwaka 2006 imetembea kilomita 134,000 Je, hii ni sawa? Nimeangalia Noah nikakutana na mambo nisiyoyaelewa, kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajuzi wa magari naomba muongozo hapo kati ya hizo gari mbili kwa kuzingatia; A, comfortability B, long safari C, Spareparts availability & reasonable price D, Durability.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari! Kuna gari nimeanza kulitumia nina mwezi sasa (mercdes benz c 220, 1995 model ) shida ipo kwenye reverse transmission. Nikiwa kwenye muinuko kidogo linagoma kurudi nyuma, ni kama...
1 Reactions
36 Replies
10K Views
Nissan and NASA are aiming to conquer earth and space with their own fleet of self-driving cars. The two companies have entered a five-year deal that will eventually produce a line of...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Wakuu nimevutiwa sana na hizi gari hasa yenye CC tajwa hapo juu, je ulaji wake wa mafuta ukoje, na upatikanaji wa spea na ukoje? technical problems, if any? thanks cc: Zanzibar Spices
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Back
Top Bottom