JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu mimi ni muanga wa hizi gari za kununua mkononi, kutokana na negative experience niliyopitia nimekuwa muoga sana na hizi gari za kununua mikononi!! Sasa nimejichanga na kufanikiwa kupata...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Naomba mtu mwenye uzoefu na gari hili spacio old model 1580cc,inakula litre 1kwa km 6,nilimpelekea fundi akaniambia plug zipo sawa. Naomba msaada nifanye nn?
1 Reactions
91 Replies
19K Views
Wakuu Naitaji betri tajwa hapo juu iwe Mpya ukiweka na bei yako itakuwa vizuri zaidi
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nawasalimuni wote, Mimi nataka mnisaidie kiushaur katika hili, Kiukwel kwa mda mrefu nimekuwa nikitaman sana kumilik gar na mapenz yangu makubwa no kutumia gar kati ya marcedez au jeep...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wapendwa .jamani nimekuja uku kucheki wataalamu wanasemaje kulingana na shida niliyonayo. Gari langu linapata heat sana na kuzima yani ukitembea kidogo linapata heat na kuzima. Je tatizo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Top speed 386km/h 0-100km/h in 2.6seconds 838hp
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Brabus 600MG GTS V8 600hp Speed 320km/h 0-100 in 3.2 seconds
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Msaada :: Kwanza habari za shughuli ndugu zanguni nataka kusaidiwa izi gari zimekuwa na matatizo mengi ikiwepo ya kuungua Pump. Yaani zinaungua sana ktk Pump
0 Reactions
10 Replies
4K Views
nataka kununua piki piki ila niko dilema, juu ya brand na pikipiki bora yenye range ya Tshs.1.9- 2 M.
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Niko na Nissan double cabin hardboard d22 nilikuwa natafuta oil aina ya total muhindi ananiambia sio nzuri kwani mwisho ni km 3000 lakini hii ya bp ni mpaka km 9000 naomba ufafanuzi wakuu lina...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
THE TESLA MODEL S may be the safest vehicle ever tested by the feds. So safe, in fact, that according to the automaker, the all-electric sedan broke the testing equipment at an independent...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
wakati flan nachananya nose cut na half cut. ila hapa nataka kuzungumzia ile sehemu nzima ya gari kuanzia kwenye mlango wa dereva mpaka mbele kabisa.iwe imekamilika kila kitu. inahitajika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna hii tabia ya wenye pikipiki hasa boda boda kupakia mizigo mirefu ambayo inachomoza pande zote, kwa mfano mbao, bati, nondo n.k. Hii ni hatari sana kwa watembea kwa miguu na hata vyombo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Intro Tunatengeneza web application kwaajili ya ku track huduma ya tuition katika mkoa wa Arusha, n.k Tunatumia ASP.NET, Razor, MVC, EntityFramework, jQuery n.k Database Design Database hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kuna hizi gar mbili Premio 2005 odo 55000km tsh 13 no Na rav4 2003 103000km tsh 15 Tofauti ya bei ni 2mil. Ipi ya kuchukua hapo Ushauri wenu ni muhim sana hasa wenye uzoefu na hizo gar...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau msaada wenu hapa unahitajika Ni hivi...huwa najiuliza kuhusu umbali gari uliosafiri (km) unahusiana vipi na uimara wake? Je ni lazima gari iliyosafiri umbali mrefu kuwa sio imara ama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba ushauri juu ya hizo gari. Ipi ninunue? Za miaka inayofanana 2004 - 2006 cc sawa 2,360 4WD or not Advice requested urgently
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Salam, wapendwa nina injini ya hiyo gari natafuta body yake au inapoweza ingia niitumie. Mwenye nayo ani PM.
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Habari Wakuu, Nina jamaa yangu anahitaji gari, bajeti yake ni Mil 15, na anapenda sana sana RAV 4 Je anaweza kupata wapi? kuagiza au showroom za ukweli wapi? Au mbadala wa hiyo Gari kwa bajeti...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
wakuu habari zenu, nataka kuagiza suzuki carry kadhaa kwa ajili ya biashara, sasa kwa kuwa mm sina uzoefu na aina hizi za magari naomba mtu anipe kidogo elimu kwenye aina...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom