JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Rejea kichwa cha habari. Nahitaji kununua suzuki escudo,hizo models hapo juu zimenichanganya,naomba kujuzwa umadhubuti na matumizi ya mafuta baina models tajwa.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari.kama kichwa cha habari kinacho jieleza naombeni mwenye uzoefu na aina hii ukizingatia ulaji mafuta, upatikanaji wa spea na uwimara wa gari. ; Kama kitgg G
0 Reactions
2 Replies
878 Views
wakuu kuna hizi gari zenye rotary engine.zinaonekana kama ni ngeni sana ingawa ni engine ambazo zipo mda mrefu sana lkn kwetu hapa naona now watu ndio wanazinunua nunua.ili tusidindokee kule kule...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau habari zenu. Nafikiria kwenda Dubai kwa ajili ya kununua gari siyo mpya bali used. Please kwa wazoefu wa dubai tafadhali naomba uzoefu wenu hapa.Nataka HummerH2'
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Boxer na Tvs ipi ni pikipiki bora zaidi
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kuna kigari nakiona ona sana barabarani ni pick up kina tairi la spare mbele ni kama ni cha mtu mmoja tu anakiendesha kilivyo... kidogo sana... kuna anaejua ni kigari gani? brand ipi?kikoje details?
0 Reactions
63 Replies
8K Views
Nataka kuagiza gari aina ya Kluger V, najua hapa JF kuna watu wengi wamewai kugiza magari nnje ya nchi. Napenda kujua kampuni gani mzuri zaid kuagiza gari, kwenye swala zima la usalama na kuwai...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwa Tz je kuna tofauti ya mafuta petrol ya premium na unleaded? Nchi za ulaya kuna zile pipe za blue na red, na bei ni tofauti kati ya petrol red vs blue. Lkn tz bei ni moja tuuu kwa petrol...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Wana jamvi ninakigari changu toyota passo piston 3 kimeanza tabia ambayo inanitisha kabisa,kwanza engine inakuwa kama ina.misa hivi nikiganyaga mafuta na pia kwenye mlima kinakosa nguvu na kina...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Tunaomba ushauri ipi unadhani ina unafuu ktk unywaji wa mafuta,upatikanaji wa spare part kwa Tanzania na ipi inafaa kwa off road? mzee kastahafu inabidi apate moja ya gari hizi 1. Honda HR-V...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndugu JF wenzangu leo katika pita website za usedcars Japan nimeona gari aina HONDA HR-V SUV drive 4WD engine cc1600 bei yake 2500 dollas. Ninavyojua mimi gari hizi bei yake huwa juu sana lakini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
AL MADINA COMPUTERS Tunafanya huduma ya kutengeneza magari ya aina mbalimbali (Diagnosis) kwa kutumia Komputer kutoka (America,Asia,Europe na China) na heavy equipment kama Cat...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa magari, mwaka huu nadhani sampuli hizi ni ishara kuwa ushindani unazidi kuwa mkubwa kwny soko. Anglia:
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hz gar zote ni za 2005, nazipenda sana kwa muonekano wake, nataka tu kujua kwa hapa kwetu bongo esp mafuta, spare na durability zake
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam wakuu. Nina options za kuchukua mojawapo ya gari tajwa hapo juu au SUBARU FORESTER baada ya kusumbuana sana na mama watoto kwani tuna gari moja ambayo ndo naitumia kwa shughuli zangu za...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za asbh wataalam. Naomba kujua sifa na bei za gari aina ya LEXUS.Naomba sana.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kama title inavyojielezea hapo juu, kutoka na ongezeko la magari ya kila aina kila itwapo leo!.. Imefikia mahala kwa watu makini kabla ya kufikia uamuzi wa kuagiza gari tufanye tathmini ya kina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanabodi naipenda sana hii gari niliendesha ya rafiki yangu inatambaa kama ndege halafu ni comfortable naomba mwenye uzoefu nayo kama service na spare party kabla sijatumbukia
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Sabakher; Jaman Kwa Bajet Hiyo Ya 8M Naweza Pata Gar Gan Kwa Movement Za Hapa Na Pale!! Ningeomba Kupata Sifa Za PASSO! IST! CAMRY! VITS! RAUM! Kwa Bajet Yangu Naweza Kupata Lipi? Vp Unywaji Wa...
2 Reactions
27 Replies
9K Views
Back
Top Bottom