JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wataalam naomba kujuzwa hili..Nataka kuelekea huko muda si mrefu naogopa kutapeliwa!
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kila siku nayaona barabarani, kwa kweli yanavutia sana. Je kwa aliyekwisha panda mabasi hao vipi kuhusu ubora na comfortability yake. Nimeona matajiri mbalimbali wameanza kuyanunua kwa kasi sana.
0 Reactions
54 Replies
20K Views
Habari wanajamvi Leo naomba nifahamishwe kuhusu hiki chuma cha JEKI ambacho kinanyanyua gari ambalo haliendani na umbo la kifaa hiki. Hivi chuma cha JEKI kimetengenezwa na material gani maana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau habarini, Nahitaji gari toka nchini Japan. Chaguo ni Mark X , Brevis or Alteza. Je nitenge kiasi gani kwa ajili ya kupata gari aina hizo?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wakuu. Naomba kwa anayejua taratibu na sheria za kutumia gari lenye namba za kigeni (za Afrika kusini au za Msumbiji au Kenya) kwa Tanzania tafadhali. Mfano nataka kutumia kwa muda wa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama title inavyojieleza hapo juu,, naomba ushaur kabla ndugu yangu hajafanya maamuzi juu ya aina hiyo ya gari na hizo specification zake hasa kwenye upande wa ulaji wa mafuta. Option za huyu...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Hamjambo ndugu. Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu nimevutiwa na aina ya gari kampuni ya Ford ambapo huku ina uzwa doller $10,000 sawa na R150,000. Nia yangu ni kufahamu gharama (ushuru)...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Waungawana habari zenu!! Nataomba ushauri au mwongozo ni wapi nitapata Defeneder 110/ LandCruiser HZJ79, single cabin. Iwe inatembea au iko juu ya mawe cha msingi body iwe kwenye hali nzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Nina mpango wa kununua Toyota HiAce kwaajili ya kufanya kazi kama daladala. Kuna kitu nimeshindwa kuelewa kama nichague yenye engine ya 2000 au 3000. Pia kuna option ya manual au...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakati tunakua,kulikuwa na uvumi kwamba magari aina ya RANGE ROVER ndio yalikuwa magari yenye kasi kuliko yote kwa wakati huo kiasi kwamba yalikuwa hayaruhusiwi kupaki karibu na benki,je uvumi huu...
1 Reactions
44 Replies
8K Views
Hodi humu ndani. Husika na kichwa cha habari hapo juu.. Je, kuna maelezo yoyote kwa sisi tusiojua ishu hizi za magari? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
40 Replies
12K Views
Naomba kwa mwenye uzoefu atupe ushauri sie wateja wapya wa Bima za magari. Nimeagiza gari Toyota Noah - 2007, gharama zake mpaka kuitoa ni TZS 12M. Je Bima kwa maana ya comprehensive au Third...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau wenye kufahamu zaidi kuhusu gari za aina hiyo zaidi zaidi old and new model zipi ni bora kabla sijanunua
1 Reactions
19 Replies
28K Views
Wanajamvi Habarini za Mida,Nilipotezaga password yangu ya JF,sasa nimeipata am back. Nina shida moja tu: Nataka kufungua Garage ya magari au (car service centre ya kisasa).Ila bado sina uelewa...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari za mida hii watalaam, mimi nimtumiaji wa magari gari yangu ya sasa ni Nadia engine 3s. Nina mpango wa kununua gari ambayo ina shape nzuri but cheap in price. Katika pitia mitandaoni...
0 Reactions
14 Replies
12K Views
Linapiga kelele sana, yaani kuanzia gia ya kwanza, siku ukiendesha hutakaa utake lingine. Ila utafurahi zaidi ukiliendesha kijijini kule hakuna msongamano mkubwa wa watu na nyumba zipo mbalimbali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kujua gharama za kuagiza nje gari aina ya suzuki swift, pamoja na upatikanaji wa spea zake.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wasalaam wanabodi. Nimejichanga na napenda kununua gari la juu kidogo maana huku ninakokaa gari langu la chini kila siku naacha bamba kwenye makorongo. Sina uzoefu na hizi gari, Prado ya 1998 na...
1 Reactions
36 Replies
10K Views
Hii model FH zina 610 horsepower kwa bongo ziko mbili tu kwa azam na ndo gar zenye horsepower kubwa bongo nzima.
1 Reactions
34 Replies
9K Views
Back
Top Bottom