JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za jioni wana JF.kichwa cha habari chahusika.Naomba kujua bei ya gari aina ya Toyota Harrier Lexus tangu kuagiza hadi kuingia barabarani au ikiwa yard hapahapa bongo.Natanguliza shukrani.
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Wandungu mambo vp? Nina toyota oppa ya mwaka 2006 ila sasahv nahisi kama nguvu yake imepungua, ukiwa barabaran kwenye kimlima inapanda kwa taabu sana na pia speed haizidi 80, nini shida?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Naomba msaada wa Sifa na uwezo wa Hilo gari hapo juu na bei yake na wapi naweza pata bora zaidi hapa Dsm.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naulizia bei ya magari used ya bei rahisi mno ya kutembelea Kwa hapa tanzania
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wadau, Za mchana? Nina BMW yangu 318i nilimnunulia shemegi yenu sasa sijui kaikorofisha nini maana haitaki kuwaka. Ni either fuse/relay, pump kimeo haivuti mafuta, umeme, nozzle etc sijajua...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Toyota Corolla X Tshs 5.5 Cc 1496 Km 150267 Engine VVT-I Haidaiwi chochote Gari ipo ktk hali nzuri sana
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba kufahamishwa wakuu, Toyota Ipsum new model ni kuanzia mwaka gani?Nataka niagize hiyo gari ila nimeshauriwa nichukue new model.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana JF, samahani kwa usumbufu. Jamani naomba kujua hivi hizi namba zinakuwa zimeandikwa mbele ya scania humaanisha nini mana nasikia hata bei yake pia hio namba inahusika mfano nyingi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalam njooni hapa, ipi kati ya hizo engine mbili ni kiboko ya mwenzie
1 Reactions
9 Replies
6K Views
RUNGWE TRADING CO LTD is an independently owned company operating as freight forwarder serving Tanzania and all neighbouring landlocked destinations. The company provides air sea freight...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeagiza gari toka Japan na baada ya kuanza biashara nimepata changamoto ya matumizi ya mafuta. Gari ni Toyota hiace, Engine ni 2RZ na ni automatic. Gari inatumia lita moja ya mafuta ya petrol...
1 Reactions
5 Replies
966 Views
Nimekua natumia gari aina ya Pajero kwa Muda sasa na imejitokeza likapata matatizo ya Injini yake (4D56), nimejaribu kununua injini zimefika 3 mpaka sasa lakini zote zinasumbua baada ya miezi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu gari yangu ina bleez oil kwenye vaccum ya intake manifold inapounga horse ya aircleaner nini tatizo?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je ni muhimu kwa gari inayokula oil baada ya muda Fulani kuwekewa STP,na je inasaidia kukata tatizo la kula oil kwa gari iliyofungwa ring mpya?msaada wenu wakuu
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Iko hivi baada ya kufunga ring piston mpya,pamoja na piston gari ilikaa silence kwa muda wa saa moja,ndipo nilipogundua kuwa oil ina bleez kwenye intake manifold inapounga hors ya air cleaner. Je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nimehamia dar kutokea Arusha, ningependa kuelekezwa garage nzuri special kwa germany car especially BMW hapa dar ambayo nitaweza kufanya service na matengenezo ya gari Shukrani
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnielimishe kidogo hvi unapotaka agiza gari kutoka nje kutoka kwnye ile bei unayoiona online ni gharama gani nyingine unapaswa ziongeza mpaka ujue jumla ya pesa unayohitaji kamili...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba kupitia huu uzi tufahamishane bei ya aina mbali mbali za magari showroom za hapa Tanzania
1 Reactions
12 Replies
23K Views
Habari za sa hizi wakuu. Ninaomba ufafanuzi wa matumizi sahihi ya Cruise Control. Ni gari mpya nimeagiza kutoka Europe. Nissan Pathfinder sport. Nimesoma manual na kujaribu kupitia forums...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom