JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu poleni na kazi!! Nataka kwenda Morogoro kikazi ila niko na privet car ila nataka nipite shortcut ya Mbagala hii njia ya Ikwiriri!! sitaki kupita hii Morogoro road hadi Chalinze naona...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu mambo vepee! Kama ambavyo mnajua, nimekuwa nikiendesha hii gari kwa muda wa miaka 2 na nusu. Nadhani huu ni muda muafaka wa kutoka kwenye Altezza. Mnanishauri nichukue gari gani? NB...
2 Reactions
62 Replies
10K Views
hii gari ni sh ngap mpya? na vp kuhusu consumption ya mafuta kampuni gani inazi import kwa bei rahisi na kwa muda sahh je ni sahh kununua za mtaani coz nataka anza nayo biashara
0 Reactions
10 Replies
12K Views
wakuu kwema, naomba kujua performance na complications za suzuki escudo model hio hapo chini.Iwe ya four au six si vibaya nikajua sifa zake kwa zote na lowest sale price yake ninayoweza pata...
1 Reactions
52 Replies
31K Views
Wakuu, habari? Nina imani humu kuna watalaamu mbalimbali wa masuala ya magari.. Nahitaji msaada nijifunze ufundi mbalimbali katika garage yoyote hapa Dar. Elimu yangu hairuhusu kupitia au kwenda...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Bilashaka mnaendelea vizuri wanajamii forumn !! Niende kwenye mada!! Binafsi hua Nina ndoto ya kutengeneza ndege lakini hua sijaifanyia kazi,sasa baada ya yule kijana wa tunduma kutengeneza...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Nilikua na altezza nikauza sasa nahitaji ushauri kati ya Brevis na Rav 4 kili time niangukie wapi..[emoji42]
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari.. Natafuta yoyote mwenye gari yake na yuko teyari kuikodisha kwa sherehe. Iwe gari yoyote nicheki... Costa eicher noah range bmw yoyote... Nitakutafutia wateja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta TOYOTA PROBOX Natafuta TOYOTA PROBOX
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani, kuna basi lolote la 2 x 1 linalofanya safari za Dar - Arusha? Nahitaji kujua please
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Vehicle Diagnostics Machine For Sale Mwanza 694762 |694762
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau, budget yangu ni 8M or below PM kama unayo
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamvi!!! Mi ni mgeni humu ndani lakini nimeingia na swali, ningependa kujua utofauti gani uliopo kwenye izo model mbili tofauti za gari hasa mwenye uimara kwa aina yoyote ya gari...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba ushauri, Nataka ninunue mabasi ya kusafirishia abiria kati ya miji miwili ambayo ipo umbali wa kilomita 200. Wazo napata nininue kati ya TATA na Eicher zile kama za UDA. Naomba kujua...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii Ipsum mara ya mwisho natazamani km ilikuwa inasoma kama 156,500 ivi,ajabu asubuhi ya leo inasoma 175 ila juu inaonyesha Triple A. Msaada wadau,kuna tatizo gani hapo
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari \Forum, Nina rafiki yangu mmoja huwa anatumia mafuta ya ndege(100LL) kwenye gari lake kwa kuchanganya 50/50 na petroli hii ya kawaida(unleaded) kwa muda sasa zaidi ya miaka mitatu,pia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wadau wa JF garage,mbarikiwe sana. Niko kwenye harakati za kuagiza guta kutoka Dar kulileta hapa Dodoma ili liweze kurahisisha usafiri na pia katika shughuli zangu ndogo ndogo za...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Taken
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu nina friend wangu anaomba msaada kuna procedure gani inahitajika ku-follow ukihitaji kusafirisha gari kutoka tanzania hadi botswana??
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvi...takribani miaka hii miwili iliyopita nimekuwa nikiona Defender zikipanda chat,zinakuwa pimped haswa japo ni za zamani lkn zinatoka ile mbaya!Huku Arusha waliokuwa na Masubaru...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom