JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Watalaam nina Prado box lina engine 3L ningependa kuweka turbo liwe na nguvu zaidi. Je ni nzuri au ndio naliloga? Naomba ushauri tafadhari
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu, mwenye kuifahamu vzuri hii gari anielezee uzuri wa hii gari pia na weakness zake mana nataka kuichukua. Mawazo yenu ni muhimu. Asanten
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Spare zake zinapatikana wapi? Water pump, Stabilizer bar, front bamper, rear bamper n.k
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sorry waungwa, hizi gari kwa matumizi ya town tu zina shida yoyote? Natangulisha kushkrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi naomba msaada wenu kwa wale wanaojua Nina gari yangu Toyota Ipsum 2002 nikikanyaga kwa nguvu mafuta ili nikimbie baada ya muda sitakuta maji kwenye horse inayotoka kwenye mdomo...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Naomba msaada wa kiufundi, Gari langu linatoa moshi japo kidogo, pia linatumia fuel 8 km kwa lita, SPECIFICATION Spacio old model Petrol fuel SHIDA YA GARI INAKULA MAFUTA SANA INATOA MOSHI MSAADA...
0 Reactions
47 Replies
25K Views
Habari wakuu! Gari Rav4 1996 engine model 3S-GE ina tatizo la kuongeza kasi (acceleration), inaanza vizuri kutoka 0-50, baada ya hapo inajivuta sana kwenda 60,70 na 80. kupata spidi 100 inakuwa ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wadau, Hii thread sijajua nieke jukwaa lipi..... Anyways, nilinunua fog lights kwa ajili ya gari yangu, hizi fog lights ni Zina LED Bulbs kisha zina round ring (angel eyes) ambayo pia ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naam Kama title inavyojieleza hapo juu... Actualy ni swali, At list ningependa kujua kutoka kwenu gari ndogo zenye 1790Cc -1500Cc ambazo mtu anaweza kutoboa safari za Dar-Arusha ama Dar-Mbeya au...
2 Reactions
90 Replies
30K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, je ni vitu gani unapaswa kuvizingatia kwenye gari before hujakabidhiwa?? Gari uliyoagiza nje? Kwenye injini? Mana wengine wanasema kuna kitu kinaitwa thermal...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau Kuna hizi Models mbili zinazotumiwa na TRA kukokotoa gharana za kodi IST-NCP 60/61/65 HATCHBACK IST-NCP/ZSP 11 HATCHBACK Pia naomba ushauri Ni model gani nzuri,preference yangu Ni NEW...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Poleni na majukumu wana JF! Ningependa kufahamishwa huchukua muda gani kukamilisha usajiri wa gari mpaka kupata plate number ya gari?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau,gari yangu imepata ajali na imepasuka kioo cha nyuma,mbele na vya pembeni,msaada wapi naweza pata vioo tajwa original? Gari ni suzuki grand escudo.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wandugu zangu, Katika ujenzi wa taifa, nataka kuagiza hii gari, naombeni kujua ubora wake na matatizo yake niandae kiasi gani mpka kuwanayo barabarani.
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Habari zenu wana jf, nauliza ni showrooms zipi kwa dar es salaam naweza pata gari kwa bei nzuri.
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Naomba kujua bei ikiwa mpya hapa yard za Tanzania, na specifications zake, na upatikanaji wa spare hapa Tz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada gari lina miss kila asubuhi au kila nikilizima Kwa mdaa mrefu tuseme kama masaa nane ukija kuwasha linakuwa na Miss kubwa tuu hadi linatingishika na kukuwashia taa ya check...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Hakika hii imenistua kidogo au ni ushamba wangu?. Jamaa yangu alikuwa na gari 'chakavu' namba A sasa sijui kafanyaje kaende TRA eti kafanya mbinu na kubadilishiwa na kupewa namba D kisha amelipiga...
3 Reactions
51 Replies
17K Views
Habari wadau! Jamani naomba wazoefu wa tatizo la gari automatic kujilock steering ghafla mniambia chanzo huwa ni nini? Na bahati mbaya ikishajilock mbele haiendi, gia haisogei, yaani inakakamaa...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Nimeona gari nyingi zinazotumia turbo pamoja na pump ya umeme ndio zinakuja na control box!je ukiweka pump ya kawaida na kisha kutoa control box je gari itafanya kazi vizuri bila matatizo?
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Back
Top Bottom