JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hivi kuendesha gari au chombo cha moto ukiwa umevaa viatu vya wazi au sendo ni kosa kisheria naombwa kujuzwa wadau
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wana Jf Garage! Wakuu nataka kununua gari hivyo naomba ushauri na maoni yenu wakuu. Ni vitu gani inabidi niviangalie na kuzingatia kabla ya kununua gari?
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mwenye ufahamu na magari haya ya aina mbili naomba msaada tafadhali. Ipi gari bora (uimara na kutulia barabarani) Toyota Isis & Toyota Voltz Ahsante
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Ilianza tu ghafla kuwa kuna wakati naendesha inakata mafuta. Nikapeleka kwa fundi akasema ni pump ya mafuta tukabadilisha.ikaendelea pia kwa muda flan pia inakata hivyo hivyo baada ya mwendo flan...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Nchini Uganda kuna kampuni nyingi zilizosajiliwa kabisa iwapo unataka kununua gari kutoka sehemu rasmi au kwa mtu binafsi unawalipa fedha fulani kisha wao wanalikagua gari na kukupatia ripoti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari, Aliyeko au anaejua wapi naweza mpata, ntashukuru sana. Kwani ndege hii inahitaji matengenezo
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu kama uonavyo juu hii gari inatumia kiongeza mwendo cha umeme hakuna waya (cable) hivyo hakuna pakuadjust hivyo silence iko juu katika pedal imepunguzwa hadi mwisho.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua bei ya Engine nissan Td 27 ambayo haina turbo anijuze
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale tunaopenda kununua magari kupitia mtandaoni hizo odometer km zinazoonyeswa ni za kweli au feki zinaweza kurekebishwa ili kuuza ? Mfano unakuta aina ya gari hiyo hiyo za...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau,gari yangu freelander linagonga mbele hasa ninapopita roughroad nimebadili stblizerlink na stablizerbushes kwa maelekezo ya fundi lakini bado inagonga jana kaniambia nibadiri...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wanajukwaa nahitaji kununua gari ila nimekua njia panda naomba kujua kati ya hizi gari mbili faida na hasara au ipi bora na imara kuliko nyingine ili nifanye maamuzi 1. Rav 4 new model au maarufu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habari!!Leo nimepatwa na janga nikiwa barabarani kuelekea kwenye mizunguko yangu,ghafla gari yangu aina ya toyota-ist ilivuta(kupiga resi)kisha kuzima,hapa nilipo nimemwita fundi aje...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
habarini wanajamvi!Ni miezi mitano toka nmenunua pikipiki aina ya kinglion hivi karibuni imekuwa na tatizo la kukatika kwa ring na baadae kugonga engine nimesha badilisha block mara mbili naomba...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Habarini wana jamvi. Nimekua nikivutiwa sana na gari hii nissan dualis ningependa kupata uzoefu kwa wataalam kuhusu uwezo wake na ubora kwa ujumla. Na kwa mwenye nayo anaionaje kwenye nyanja ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napenda nipate ushauri kuusu hiki chombo mana wengi wanakisifia sana lakini sioni matumizi.Pia upatikanaji utunzaji na spea nijue ili nifanyeje maamuzi bila kujutia Mana naipenda sana lakini sifa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale Car Enthusiasts najua mmewahi kuona magari ya kiutofauti/Special hapa nchini. Inaweza kua sports cars, muscle cars, highly customized cars etc. Namaanisha yale ambayo tumeyaona sana...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Nahitaji aina nzuri ya Pikipiki kwa ajili ya kutembelea. Je ni aina gani nzuri kwa maana ya ubora, life span yke na gharama nafuu, naomba kuwasilisha
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gari yangu imezama kabisa baharini kwa muda wa masaa km 24 hivi ila now ishatolewa ipo nchi kavu, Nini kifanyike plz???
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Msaada wenu wakuu gari yangu wiki iliyopita nimepeleka garage kuifanyia service. Service nilizofanya ni pamoja na kumwaga na kubadili oil na kubadili hydraulic na nyingine ndogondogo kazi...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Back
Top Bottom