JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nataka kununua gari ka kutembelea,Toyota RAV 4 L (5 Doors). Vipi kuhusu changamoto zake,maana kuna mtu amenitonya kuwa RAV 4 L haziwezi safari za muda mrefu e.g[Dar to Mtwara or Dar to Iringa.]...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau mimi ni muuzaji wa hivi vitu kwa rejareja lakini changamoto niliyonayo ni upatikanaji wake hasa kwa bei za jumla kwani wengi wanaojiita wholesalers ni middleman tuu, Tafadhali anayewajua...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
habari zenu wakuu hivi gari lazima iwe na carburetor ? nilijikuta katika mabishano makubwa baada ya watu niliokua nao kusema ni lazima et ata vogue lina carburetor tena mbil , me navyjua gari...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam wapendwa. Tafadhali naomba kujua kutoka kwa wenye uzoefu.. JF Garage, ni gari ipi bora kwa mazingira ya hapa Tanzania hususan barabara kati ya ist na ractis. Jibu lako liwe na sababu...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
NOmbeni kujua juu ya aina hizi za volkswagen Volkswagen polo mwaka 2002 na volkswagen golf mwaka 2001 juu ya mambo yafuatayo .ulaji wa mafuta(1l/km .upatikanaji wa vipuli .uimara kwa barabara zetu...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu, Ninamshukuru Mungu kwa namna ya pekee kuungana na familia hii kubwa iliyo jaa watu makini. Naomba nami nitumie nafasi hii kuomba ushauri. Nina kiasi cha 9M na nahitaji kuagiza...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Wakubwa nahitaji gari, naomba mnishauri aina ya gari inayonifaa. Budget yangu ni mil12. Sifa ya gari niwe naweza kusafiri nayo kutoka Mwanza- Arusha angalau mara mbili kwa mwaka (iwe na uwezo...
1 Reactions
5 Replies
989 Views
Wadau naomba kujua kwa gari aina ya VEROSA cc 1998 from Dar to Nachingwea about 590 Km liter ngapi naweza tumia??
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wapendwa. Samahani naombeni msaada tafadhali, naitaji kununua gari ndogo ambayo inatumia mafuta ya diesel, katika pita pita zangu kuna mtu kanambia kuwa kuna hizi beetle new model...
2 Reactions
32 Replies
11K Views
Habari ya muda huu wakuu, kama ilivyo apo juu kichwa cha habari kinajieleza. naomba msaada wakufahamu chuo kizuri cha kujifunza udereva hapa mwanza kikiwa na ada mzuri pia, then nifahamu mara...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habari. Nimejaribu ku search Topic kama hii sijaipata, ila kama ipo Mods mtaiunganisha. Mfano mtu akitaka kuagiza gari isio ya kijapan, kama BMW Benz VW Range etc, itakua ni vizuri kuagizia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, kama uzi wangu unavyojieleza..Nina kiasi cha Tsh 12 milioni (Bei ya kununulia, kodi ya serikali na gharama zote ziwe ndani ya hiyo Tsh 12m), na ninataka kuagiza gari la kutembelea kutoka...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu, kwa mwenye nayo ajulishe hapa. thanks
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar,jaman niko njian naelekea kanda ya ziwa ghafla gar yangu imeandika EPS kwenye dashboard na steering imekuwa nzito sana ushauri wenu tafadhar
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Ndugu wana JF Natumaini mpo bukheri wa afya njema. Tafadhari naomba msaada wa kufahamishwa ubora wa Toyota ISIS hasa uimara,upatikanaji wa vipuri, ulaji wa mafuta na kadhalika.Nimatumaini yangu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hili gali linaimili kubeba watu wanne na lina uwezo wa kukimbia speed 70 kpm gharama zake ni million 6 , karibu kama wewe mbania mafuta na upendi kupanda basi, linaweza kupenya kama bajaji, lakini...
8 Reactions
68 Replies
19K Views
Gari tajwa hapo juu lina tatizo la compressor ya A/C, anahitajika fundi wa kurekebisha tatizo hilo mara moja , tafadhali.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
HAbari wana JF, Kuna hii ofisi mpya cha kutengeneza magari ya aina mbalimbali kinaitwa auto express kipo karibu na njia ya kuingilia vingunguti barabara ya Julius K. Nyerere,kuna anayefahamu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi poleni na majukumu, nimetokea kuzipenda hizi gari, mwenye uzoefu nazo naomba anisaidie kuhusu changamoto zake au ubora wake. Asanteni
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Wakuu mm nina pesa zangu za Madafu kama ML 4 hivi natafuta gari ambayo inauwezo wa kutembea umbali mrefu. Sina uzoefu na magari. NB. Hataikifika ML 5 sawa tu
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom