Kwa wenye taarifa kuhusu hili watujuze, vipi TRA wamesha anza kutumia sheria hii kama ilivyopendekezwa na waziri wa fedha? Mwenye kujua naomba anijuze.
Jaribu kufanya hivi hata mwezi mmoja tu uone utapata sh. ngapi?
Moja ya siri ya mafanikio ni pamoja na ubahili, ufuatao ni mkakati ambao utakufanya uwe moja kati ya mabahili wakubwa ndani ya...
Dar es Salaam. Little is known about the journey of most of Tanzania's richest people as they rarely share their experience with the public. But Reginald Mengi-one of the richest men in...
TCRA Communications Manager, Innocent Mungy
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has reiterated that the exercise of switching off analogue broadcasting system across the...
Nimetumia account hii (sio akaunti yangu) nikiwa na lengo la kufikisha ujumbe huu.
Jina langu naitwa Blessing(sio mmiliki wa account hii) nIna umri wa miaka 19 ni mzaliwa wa TANGA ninaishi DAR...
Wakuu kwa sasa ndipo songea kikazi na kampuni moja ambayo ina utaratibu mgumu, sipati nafasi kuchomoka kuja dar.
Nahitaji smartphone mpya isiyozidi laki tatu. Hapa songea maduka yoote ni Tecno na...
Taarifa nilizozipata kutoka kwa rafiki wa karibu ni kwamba NAKUMATT imefungua branch Dar es salaam. Walioko Dar mtujuze hizi taarifa kama zina uhakika.
Wadau naomba Msaada pls nataka kuanza ujenzi wa Msingi(Foundation)Mafundi wananichanganya sana,ipi Cement bora kati ya Rhino ya Dar,Tembo Cement ya Mbeya Na Twiga Cement ya Tanga?
Sent from my...
Habari ya majukumu wakuu? kwa wenye uzoefu wa hii biashara pls, naomba kujuzwa faida zake na hasara zake, kwa ujumla maana nna kamtaji nataka kujiingiza kwenye hii biashara ya vinywaji vikali na...
OMEGA 3 SALMOIN OIL PLUS
******************
WHY omega 3 salmon oil?!
*Binadamu huitaji kiwango kidogo tu cha mafuta ila wengi wetu hula zaidi. Tunahitaji 1g tu ya mafuta kwa siku ila wengine...
Wadau,
Naomba kuanza kwa kupongeza mfumo mpya wa ulipiaji ushuru kupitia mfumo wa money transfer. Mfumo huu utapunguza kwa kiasi kikubwa upotevu wa mapato na utawezesha au unategemewa kuwezesha...
Federal Bank of Middle East (FBME)
A day after the local media reported plans by the Central Bank of Cyprus (CBC) to look for buyers to take over branches of the Tanzania-based Federal Bank of...
Tanzania risks having its products locked out of the rest of East Africa from November, as it lags behind in adopting harmonized regional standards.
The harmonized standards were set by the...
Makampuni au wataalam wengi wanapofanya decision huwa wanaforecast environmental changez zinazoweza ku affect maamuzi yao. Lakini Sio kwa hapa Bongo.
Juzi juzi tu tumeona makampuni ya vinywaji...
Hallo Wana JF
Pamoja na kuwepo kwa Utitiri wa Viwanda Vya Cement hapa BONGO lakini Bado wengi hukimbilia Cement za Nje.
Umewahi kujiuliza kwa nn Viwanda vya vyote hivi na bado Cement...
Wadau, mimi nashangaa sana. Mlimani city unakuta samaki samaki pamejaa kupitiliza hadi tunasimama hapa parking area, lakini spots za pembeni wahudumu hadi wanabembeleza watu kuingia lakini...