Wakuu, nimerasimishwa ardhi na kama ekari tatu ivi na halmashauri ya kijiji cha msangani. Sasa swala langu ni je ninaweza nikatumia ardhi hiyo kukopea benki? kwangu mimi naona pale nikaweka mradi...
Looking for a REAL way to earn money online?,No purchase requirements...ever!
Start earning income immediately just by doing simple free actions, Get access to free online Business Training, Fast...
habari za kwenu wana jamvi.
kuna baadhi ya nchi nimeenda nimekuta mashine za kutoa fedha aka ATM zinamilikiwa na watu binafsi
lets say mimi nanunua mashine zangu naziweka pale mtaani, alaf nakuwa...
habari wakuu.
Nahitaji niwe naprint t.shirt. Zamani nilikuwa natumia X-Ray. Yani unaichonga arafu unaiweka kwenye T.shirt arafu unachukua sponji unachovya kwenye rangi kisha unaprint juu ya ile...
UH OH! Bad news for TelexFree! I've been warning people for the past 6 months, especially in Africa, that TelexFree was likely to get hit by regulators in the U.S. (SEC, FTC, Secret Service...
Hii tabia ipo na ni mbaya sana sababu mwisho wa siku mtu anaacha biashara ya kuuza gazeti kwa kupata hasara kumbe muuzaji ndiyo anafirisi.
Tanzania kumeibuka mtindo anayeuza gazeti anakodisha...
Mimi ni mteja wa vodacom,ninakuwa bored na ofa yao ya kipuuzi ya hello Tanzania,wanaipa promo na matangazo kibao utafikiri ni ofa ya maana,eti sekunde 60 kwani wanaona aibu kuitaja kuwa ni dakika...
Naomba niulize swali, nafanya kazi serikalini, kwa Bahati nzuri nimepata kazi nyingine ya private ambapo wananilipa vizuri na kwa mda huo nimechukua mkopo NMB na katika makato cjafikisha hata...
Kuna samaki aina ya Jodari, Changu, Tasi, Kibua, Chewa, Ngisi, Pweza, n.k
Naombeni mnisaidie, ni hoteli au mgahawa gani na wananunua samaki aina gani hapa Dar?
Ni vendors gani pia wanaonunua...
Ni siku nyingi sana natamani kumiliki saloon ya kiume ya kisasa lakini kikwazo kikawa ni mtaji.. Lakini kwa sasa nimejikusanya na kupata million mbili., naomba msaada kwa yeyote mwenye uzoefu...
Wakuu,
Kwa yeyote Mwenye kuhitaji kununua Asali kutoka kwa wakulima ipo ya kutosha.
Inatoka sehemu za Singida na Njombe.
Ni asali ya Nyuki wakubwa,ila ukihitaji ya Nyuki wadogo pia inaweza...
Dear Jamii Forum Members,May I take this opportunity to introduce to you Migration Solutions Canada (MSCI)
MSCI is an accredited and Canadian Government authorized and licensed Immigration...
Habari Wakuu,
Ninauza majogoo ya kienyeji kwa yoyote anayehitaji au anayefahamu mtu anayehitaji naomba tuwasiliane kwenye email dconsolatha@gmail.com
Kila la kheri wakuu.
Habari zenu wakuu. Nataka kuanzisha kampuni, niliona thread inayoeleza taratibu za kufata, lakini mie kidogo nna maswali mawili matatu ivi.... Kuna kampuni tayari ipo, ishasajiliwa na ina business...
Wakuu habari zenu.
Kwa muda mrefu nilikuwa na ndoto ya kufanya biashara ya asali, hapa Dar ila bado ndoto yangu haijafanikiwa kwa kukosa mtaji wa biashara. Kwa Dar peke yake kuna soko kubwa sana...