KWA UFUPI
Hata hivyo, kodi hiyo imerejeshwa kwa staili nyingine baada ya kuongezwa katika tozo la kodi ya manunuzi iliyokuwepo kutoka asilimia 14.5 ya awali hadi asilimia 17.
Dodoma. Serikali...
Habari za muda huu...
Wakuu nna shida anayeweza kunifahamisha Nauli za Ndege(hasa fastjet)
Zanzibar to kigoma!
Kigoma to mwanza!
Mwanza to Arusha!
Arusha to Dsm!!
Ntashukuru sana!!sitarajii majibu...
Naweka program kwenye simu kwa ajili ya ulinzi na kuitrack kujua ipo wapi, na atakayekuwa anaitumia baada ya kuibiwa anaitumia kwa namba gani. Utaipata tu ukitokea imeibiwa. PIA TUNATOA USHAURI NA...
Rais Jakaya Kikwete
KWA UFUPI
Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2013 lilishuhudia wabunge wa chama tawala wakitumia wingi wao bungeni kupitisha kodi hiyo ambayo iliamsha hasira na vilio...
Heshima kwenu wakuu!
Nimemaliza chuo kikuu mwaka jana namshukuru Mungu nimepata kazi japo ya kawaida lkn maisha yanasonga. Nina kama milioni tatu kwa sasa mfukoni na malengo yangu nahitaji hii...
Tawi la Azania Arusha Mjini Limeharibika sana Kiasi kwamba wateja Wanaondoka.Kero kubwa sana ni afsa mikopo Muheshimiwa sana John,Afisa uyu amekuwa akitaka rushwa kubwa sana laki tano kwa wateja...
Source: VanillaReview.com · Tanzania
Mr Daudis Tanzania Vanilla PlanifoliaMarch 2, 2009 in Mr. Daudi's vanilla, Review | No comments
Mr. Daudis Tanzania Vanilla Planifolia
Mwanza, Tanzania...
Scott Firsing, director of Pretoria-based North American International School (NAIS)
The African continent maintained relatively strong economic growth in 2013 despite the inevitable effects of...
Jamani wanajukwaa wenzangu. kwanza kabisa asalaam alaykum pia bwana yesu asifiwe sana. Mimi nina nia ya kuanzisha biashara ya upigaji picha katika maeneo ya jiji la Mwanza. kuna mtu yeyote mwenye...
Fursa pekee kwa wazazi juu ya Malezi bora ya watoto.
Kutokana na kasi ya Maisha na Dunia kuwa Kijiji Kimoja, wazazi wengi wameishia kuwa na watoto lakini hawapati muda wa kutosha wa kutoa mafunzo...
By Dawa ya Mjinga
Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza, tena kiza kinene. Sasa hivi Tanzania kuna kinywaji kinachoitwa Konyagi na ndio maana jina jingine la gongo ni konyagi pori. Kwa...
Wadau ninaelekea china kibiashara, naomba msaada, kama kuna mtu anayejua kuhusu kusafirisha bidhaa kutoka china kwenda tanzania, na je ni muda gani bidhaa zinakuwa zimeshafika, ni mzigo wa vifaa...
Hello wana jamvi!
Kama Kamapuni imesajiliwa na yenye kujihusisha na shughuli mchanganyiko; mfano kusupply stationery, kusupply lubricants nk JE inatakiwa kuwa na leseni kwa kila shughuli? Kampuni...
My wife has 20m cash and is looking for lucrative business idea, originally she had thought doing micro-finance business but she is afraid or risks involved.
Is there any one with business idea...
Habari wa Jf,
Naomba kwa wanaofahamu maana ya hisa.
Nimekuwa naskia mtu anauza HISA kwenye kampuni au Bank
Pia saccoss wanasema sana kuhusu hisa,what is it?
Nimelink Debit Card yangu ya NBC na Paypal. Kawaida huwa nanunua vitu toka mitandao mbalimbali inayouza vitu online. Mara chache sana nimekuwa ninarudishiwa pesa kwenye card yangu ama kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.