Eneo lina sqm 72000 (ekari 18),lipo katika kijiji cha Oyoyo,kandokando ya barabara ya Mkuranga-kisarawe.Shamba lipo jirani na shamba la Mama Salma Kikwete na linafaa kwa kiwanda,shule,yadi,kilimo...
Habari za kwenu
Nina start up biashara, natafuta mtaji wa kuongezea wa 3 up to 5 mill au vifaa (machine za biashara) kutoka kwa taasisi au mtu yeyote ambaye anatoa mkopo kwa biashara zinazoanza...
Ndugu wadau wa Biashara ya Utalii,
napenda kuchukua fursa hii kuweka bayana changamoto ya ki-biashara isiyo na ushindani wa haki inayotukabili katika biashara ya utalii hapa nchini kwetu...
Wadau naomba kwa anayejua Swift Code ya Stambic Bank,aiweke hapa tafadhali,natanguliza shukurani kuna maoja nimeona kwa mtandao sina hakika kama ndio inayotumika hadi sasa au la kwani kwa...
I am looking for information to start a gold mining company eg
1. Cost of company registration and its requirements.
2.Cost of mining claims
3.Cost of environmental impact assessment...
For serious and registered architecture with style and touch and should have office in Tanzania, email me your contact urgently , I need a one floor affordable villa design with four bedroom , one...
Ukitaka kuanzisha gazeti nchini ni zipi taratibu zinazohitajika?
1.Gharama za uanzishaji kwa makadirio
2.Pia mtaji angalau inahitajika kiasi gani
3.je inawekana kuwa na gazeti linalotumia...
GAIL India, on the other hand, is also keen on acquiring a stake in upstream assets in Tanzania, and is weighing merger and acquisition (M&A) opportunities in the country.
ONGC Videsh Limited...
KUMBE ABIRIA TUKIAMUA TUNAWEZA! Nimefurahishwa leo mitaa ya Moshi KCMC ni baada ya konda m1 wa daladala kushndwa kupokea Tshs. 200 kutoka kwa Abiria mmoja mwanafunzi kisa ni J2 anadai alipe...
By PHILIP MWAKIO | The Standard | September 23, 2013
Uganda has invited its four East African Community ( EAC) partner states to buy stakes in the proposed Uganda oil refinery.
A 40 per cent...
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA), imepiga marufuku matumizi ya chupa za plastiki (vidumu) kuhifadhi au kubebea mafuta jamii ya petroli, kwa kuwa zina uwezo mkubwa wa...
wakuu humu jamvini
naomba mnisaidie.
mimi nipo Tanga na nataka ninunue bidhaa ebay.
je nitaletewa kwa njia ya posta katika adress ninayoandika ya hapa tanga au mpaka dar?
na je nitajuaje kama...
Tunauza samaki wazuri sn toka kanda ya ziwa,sato na sangara.Tunauza jumla na rejareja na bei zetu ni nzuri sana.Tupo kimara mwisho tunatazamana na stand ya magari ya kwenda mjini.Kuanzia kg 10...
Wanasema siku zote katika biashara na ujasiriamali wanaofanikiwa ni wale wanaoweza kuyaona mabadiliko na kuweza kuchukua hatua za kubadilika kufuatana na hayo mabadiliko. Mfano mzuri ni kampuni ya...
Get your free fax number linked to your e-mail address now
Missing faxes, busy fax lines, no confidentiality and malfunctioning fax machines
Does this sound familiar?
Yes Then try our...