Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello JF Experts! Naomba kujua aina za document za kimahesabu ambazo mfanyabiashara anatakiwa kuziandaa kwa ajili ya kuwakilisha TRA wakati wa kuendesha biashara zake? Nashukuru kwa kuwa mtanipa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Germany has extended a grant of 176 million Euros (about 380bn/-) to Tanzania. The funds will cover three years and are the largest amount Germany has ever committed to support Tanzania in its...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
To potential businessmen I am looking for a business partner who will contribute for a Working capital on a very attractive agro-processing business located in Dar, everything in in place...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kampuni inataka kuuza mali mbalimbali zikiwemo nyumba, samani, mitambo, magari, mashamba, etc. Ili kuuza inahitaji kupata Kampuni ya udalali yenye uzoefu katika shughuli hizi iliyopo jijini Dar es...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jamvi binafsi kwanza nawakubali sana watu wa clouds media,jamaa wanajitahidi sana kwa ubunifu. Sasa tunajua ni msimu wa tamasha kubwa la fiesta 2013 unaendelea,napenda idea yao ya kabla...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Miongoni mwetu wapo watu wenye mawazo mazuri ya biashara katika kutumia fursa mbali mbali zilizopo ili kukabiliana na changamoto mbalimbali. Africa innovation foundation wao wanatoa zawadi kwa...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
habari zenu, naomba mnisaidie kwa gari hii ambayo wamenitumia details zake CIF ni dola 4170. details zake ni hizi hapa Ref No: 19549A7N4 Year: Jun, 2005 Make: TOYOTA Name: VITZ Engine...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
waungwana naombeni kujua ghalama za utoaji wa magari kwenye bandari ya daresalam.mfano noah inayouzwa $800 inagalimu shilingi ngapi mpaka niwe nayo nyumbani.natanguliza shukrani kwenu nyote
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu kuhusu gharama za kununua kifaranga wa kuku wa kisasa ktka jiji la dar na aina za madawa ambazo ni muhimu kwa ukuaji wa vifaranga hao na makadilio ya gharama ya madawa hayo please...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
VIWANJA VINAPATIKANA KIGAMBONI ENEO LA AMANI GOMVU VYA SQUARE METER 1000,800,600 AT 10000/= @SQUARE METRE. FOR ONE WHO IS INTERESTED JUST CALL 0717 038 035 Private Town planner
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi, hii ni mara ya pili kunitokea. Juzi nimeingiza vocha ya line ya Tigo ya Tsh 1000, nikajiunga na huduma ya EXTREME kwa kutuma ujumbe wenye neno EXTREME kwenda namba 15509. Huduma...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Wana JF. Natafuta msaada wa soko la Asali kwa soko la ndani vilevile soko la nje, Asali ni nyingi na ya kutosha kutoka Singida,Mkuranga na Ushirombo. Kwa yeyote mwenye kumjua Mnunuzi wa Asali...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Ugandan newspaper commended Tanzania to learn being good neighbor, here we start. I went through your project which you called "grand" and found that you have a lot to learn from Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
On sale Samsung galaxy s4's GTi9500 which are Original All accessories included New phones You dont have to daught about the products cause we are sure of our products na utahakikisha kwa...
0 Reactions
2 Replies
880 Views
KWA MUJIBU WA FORBES MPAKA TAREHE 23 AUGUST LIST ILIKUWA KAMA IFUATAVYO NAMBA 1: BILL GATES Jamaa ameendelea kushikilia namba moja,nafasi ambayo aliipata mara ya kwanza tangu 1994. Na mwaka huu...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Tutachimba mafuta, lakini tuko tayari? Kampuni ya Shell kutafiti na kuchimba mafuta Zanzibar. Je nchi iko tayari? Na Ally Saleh. JUZI tulipata taarifa kuwa hatimae Rais wa Zanzibar Dk Ali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni ile ya kuexport mbwa... nimefanya utafiti mitaa mingi huko chaina wanagombewa kama daladala za mbagara!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni kontena 2 za tani 22.5 na 27 znazomilikiwa na wafanya biashra SADICK NASSOR na AMASHA FISH TRADERS.zlizopewa kibari na TFDA mnamo JULAI 2013 kuwa ni salama kwa matumizi ya binadamu zkitokea...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Maoni Binafsi: Afrika tunakabiliawa na changamoto ya mapokeo ya Sera za Maendeleo kuzitungia Sheria bila hata kuzifanyia marekebisho walau kidogo au makubwa ili ziendanane na mazingira pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanajamii nisaidieni anaefahamu bei ya jumla ya cd za filamu za bongo,na wapi na weza kupata kwa bei nafuu kwa dar es salaam.Nahitaji pisi kama 300 hivi.kama unajua lolote kuhusu hii kitu ni pm please
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom