Mambozz
Kuna kifaa cha masonara hukitimia kuyeyushia dhahabu na madini mengine. Kifaa kama hicho inauzwa wapi na kwa bei gani? Kwa wenye uelewa wa usonara mnakaribishwa
Wakuu mambo vipi, nasikia siku hizi kuna waheshimiwa fulani wanakuunganishia kazi kiulaini lakini mwisho wa mwezi unapopokea mshahara wako unampatia commission yake mliyopatana, wakuu naomba kwa...
Wanajamvi,
Kuna kampuni ya kitapeli iitwayo BUTAHE SECURITY COMPANY LTD.Hii kampuni inasemekana mwanzo ilikuwa na malindo UNHCR,GTZ,W.VISION,IRC na taasisi nyingine za kushughulikia...
[QUOTE]Wapo watu wasiopenda kusoma wanaokosoa usomaji wa vitabu hivi. Hoja yao kubwa ni eti pesa hazipo vitabuni na kwamba vitabu hivi ni kujiburudisha nafsi tu na hakuna lolote.
Nikiri kwamba...
SAlama wana JF? kwa wale waliofatilia jana taarifa ya habari, Tz imemteua raia na mfanyabiashara mkubwa wa Singapore kua Honorary ambassador wetu nchini humo, naomba kukumbushwa jina lake tafadhari.
Hivi inawezekanaje hasa hadi majirani zetu watuchezee namna hii? A Kenyan tea, halafu inaitwa Tanzania, pamoja na ramani ya Tanzania na twiga ambaye ni alama ya Tanzania? Hivi kweli hawa wenzetu...
Habari zenu wakuu,
Binafsi nilikua naomba kujua bei za madini ya copper ore na moonlight stone kwa tonne (per tonne) kwenye soko la dunia. Kama kuna anayeweza nipatia links/website za information...
Wadau wa JF, natumaini mko vyema kiafya na mnaendelea kusukuma gurudumu la maisha. Naombeni msaada wa mawazo hasa katika biashara hii ya madini, niko mkoani morogoro na nina Tsh 3,000,000...
Dear Members,
I've seen lot of folks here with enough money but still finding for new ventures to invest, they ask you "what can I do with these $1200?".
At the sametime, I've seen...
Wadau naombeni msaada kwa wale wenye ujuzi na mambo ya kodi za kuingiza magari nchini hasa magari yaliyozidi miaka 10 toka yatengenezwe kwa maana ya kuanzia 2002 kurudi nyuma!hasa nilikua napenda...
Mamlaka, kanuni zinaua sekta ya maziwa nchini
Wafanyakazi wa kiwanda cha maziwa wakiwajibika kazini
Malalamiko yao yanatokana na ukweli kuwa ili mtu asajili biashara yake anatakiwa kupitia...
It's 1:15 pm on a blistering hot Wednesday afternoon in Dar Es Salaam. Patrick Ngowi is seated in the lobby of the Hyatt Regency Hotel, patiently waiting for me to keep up with our lunch...
Wakuu,
Nina shamba la ekari 200 lenye hati miliki huko wilaya ya Mkinga Tanga. Nahitaji kulilima shamba lote ila nahitaji mkopo kwa kutumia hati yake wa shilingi milioni 50. Ninachotaka mnisaidie...
Mambozz
kwa wenye utalamu wa ujenzi, nyumba kama hii naweza jenga kwa shilingi ngapi? Kiwanja ninacho kibaha na nataka niijenge kwa kutumia vifaa vya bei ya chini kama mabati yale ya rangi, sio...
Snapshot:
1. Overall balance of payments surplus increased by 114.78%
2. Inflation declines up to 7.6% from 17.4% recorded last financial year
3. Imports declined
4. Exports increased and...
Wakuu,
Kuna gari nimevutiwa nayo, na katika kucheki mitandaoni nimewapata jamaa wa REAL MOTOR JAPAN. Sema kutokana na budget kutotosha nataka ni-risk kwa kukwepa "paytrade" charges, Kuna mdau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.