According to jaji bomani kampuni kubwa ya madini ya barrick gold inadai aijawai pata faida toka ianze kufanya shughuri za kuchimba madini apa Tanzania na ivyo aijawai kulipa corporate...
Salaam wakuu,
Kwa wale wazoefu, naomba msaada wa kujua yafuatayo ili kunisaidia katika nikusudiayo kuyatekeleza.
1. Ni benki gani nzuri Tanzania kwa huduma za kampuni binafsi, kwa huduma za...
Maoni Binafsi:
Wengi hawajui kinachowasubiri mbeleni. Wangejua leo, Dar ingekuwa makazi rasmi na ngome ya upinzani. Sijui kama ni vema kuwaacha waendelee kutojua mpaka pale watakapojua kwa ghalama...
Saruji kutoka nje inadaiwa kusababisha Serikali kupoteza mapato ya Sh25 bilioni kwa mwezi.
Dar es Salaam.
Kampuni ya Uzalishaji Saruji Tanzania Portland Cement...
Naomba kujuzwa jaman,nimenunua gari namibia milion kama 7 za kitanzania sasa nataka kujua ntakapokua naliingiza nchini kwangu ntalazimika kulilipia? Ama utaratibu ukoje? Ni gari aina ya benz ya...
Wakuu Heshima mbele.
Hivi karibuni nimehamishia makazi Rufiji na kujipatia shamba maeneo ya utete. Je kuna mwanaJF hapa ambae ameshakuwa na experience ya ulimaji huko? ambaye tunaweza share...
Wapendwa wana JE SACCOS,
Naendelea na mchakato wa kulipa fedha za michango ya wana JE SACCOS. Tafadhali kama wewe ni mmoja wao uliyetoa michango kupitia kwangu tafadhali naomba jitokeze niweze...
Wakuu nimekwama baadhi ya mambo fulani hivi,sasa natafuta mkopo wa shillings 15,000,000 million na ntarudisha shillings 18,000,000 ndani ya miezi sita tuu.
Dhamana ni nyumba iko Morogoro...
Habari zenu ndugu,
Jana nikiwa naangalia CNN, I saw an advert of Kenya (kuna sehemu wanaonyesha Mt. Kili); na nakumbuka kuona matangazo za nchi tofauti katika mega media channels of the world...
Habari toka Kariakoo zikitujuza Uvamizi wa gafla uliofanywa kwa kushirikisha Polisi na Raia wa Kizungu waliopita kwenye maduka na kuchukua simu zote za aina ya Samsung za kichina...
Bank yenu ya gari mobile 10 inayofanya kazi mkoa wa Tabora wilaya ya Sikonge na Ulambo tunaibiwa pesa zetu kila leo na hatuzipati na hamna maelezo
Jana jamaa yangu kadroo laki2 ila hazikutoka...
naamini wachumi na wahasibu mtanishauri maana ndo mna ujuzi.mi nimemalza form 6 ECA na
kugpata econ c,acount c ,comm
d,bam s.mi napenda sana kuwa
economist pia accountant,lakn
inabidi nchague...
Wandugu habari za asubuhi
Mimi ni mfanya biashara nko mkoani nafanya biashara ya viatu nauza kwa jumla na rejareja nilitaka nipanue bishara yabgu iwe ya jula tu kwa ss nilifikilia kwenda china...
wakuu naomben mnisaidie chuo gani wanatoa course fupi za biashara km vile sales, marketing system , how to raise capital......... nahitaj kujua zinagharim sh ngap kwa course ya mwezi mmoja mpk...
Hi JF Members! Naomba mwongozo wa namna ya kuanzisha na kusajili Gazeti ikiwa ni pamoja na gharama zake. Tayari nina business idea na napenda kufahamu utaratibu unaotumika hapa Tz. Nawasilisha
Jamani nipo eneo la Maji ya Chumvi Ubungo. Ni wapi? Ni jeshini Ubungo Kibangu. Hakuna Umeme siku nzima hapa, wakati maeneo mengine yote ya Ubungo yamekuwa na umeme leo hata kama kwa kuzimika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.