Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama ni kukatishana tamaa basi, sikutaka kukubali kutokana na sifa ambazo baadhi walio na vyombo hivi wanivyonishawishi. Niliagiza nikaipata, ni gari nzuri, inapanda milima, inapasua tope...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu hivi ni bidhaa gani zinaruhusiwa kuingia nchini mwetu bila kutozwa kodi (import duty/VAT)? nimejaribu kupitia website ya tra sijafanikiwa kuona hii kitu. Mwenye kujua tafadhali anijuze, hata...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei amechaguliwa kwenye mchakato wa kumtafuta Kinara wa Benki Afrika kwa mwaka 2013. Mchakato huo unaendeshwa na African Banker Awards...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
hiv ile kampuni ya kifedha ya DECI YA KUPANDA NA KUVUNA ILIISHIA WAPI.nimeulizwa na ndugu yangu.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Inajulikana sasa kuwa nchi nyingi za Africa zinaibiwa kwa mikataba mibovu ambayo imejaa rushwa na kuwa faidisha wale wanao weka sahihi mikataba hiyo. Tukiongelea suala hili tunakumbuka sana...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
USTA Financial Agency Ltd wanatoa mkopo kwa dhamana ya magari. Kuna mwana-Forum yoyote anajua kuhusu kampuni hii na hiyo mikopo ya dhamana ya magari?? Huwa naona matangazo yao kwenye magazeti ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa kienyeji niwafunge kisasa je inawezekana?
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Wakuu kuna gari nimeipenda, ila ni ya mwaka 2003, wasiwasi wangu ni je ina kodi ya uchakavu? nimepitia nyuzi za magari pamoja na website ya tra lakini sijaelewa namna tra wanavyohesabu hiyo miaka...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Kwenu waungwana na wadau,wachambuzi wa mawazo ya kiashara,Ninalo wazo la kibiashara linalotokana na ujuzi na uzoefu mkubwa ktk biashara hiyo,natafuta anayeweza na kufanya wazo langu kupata mtaji...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Apple and Samsung Electronics are sucking up every penny of profit in the handset business. But Samsung’s mobile business is growing fast, and the question is: Could it surpass Apple in profit...
0 Reactions
5 Replies
997 Views
Nimeikuta Inbox yangu ya Yahoo! jueves, 9 de mayo de 2013 21:30 - 22:30 (GMT+05.30) Chennai / Calcuta / Bombay / Nueva Delhi De:fileo378@yahoo.com.mx Mensaje: DIAMOND BANK WESTERN UNION...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Thu, May 2nd, 2013 Headlines / Tanzania | BG Tanzania announced that it had completed another successful drill stem test in offshore Tanzania about 45-kms from Mtwara, with tests on the Mzia-2...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Shirika la Youth For Africa (YOA) likishirikiana na wadau wake linaandaa tuzo za kwanza na kubwa zaidi Tanzania zinajulikana kama Under-30 Youth Awards. Tunapokea Mapendekezo ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ili kuleta ushindani wa huduma na kuondoa uwajibikaji mdogo nivema kama kutapatikana tawi la benk ingine mfano CRDB AU NBC..ila kama lipotawi moja tu mambo mengi yanafanywa kimazoea tu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wed, May 8th, 2013 Williamson mine at Mwadui in Shinyanga Region is on diamond production boom following major rehabilitation to its treatment plant. According to interim management statement...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaj kununua pikipiki kwa ajili ya matumiz yangu mwenyewe.Napenda kujua bei za boxer BM150 au platinum ya cc150 kama ipo.Pia process za kuilipia mpk inaingia barabaran ni kias gani?Anayejua bei...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
hi wana J.f. Nimeajiriwa mahala fulani, lakini hadi sasa napokea kwa kutumia bahasha. Nimeanzisha biashara yangu kwa mwezi mmoja sasa ninahitaji mkopo kwa ajili ya kupanua biashara yangu. baada ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Natafuta connection ya biashara na uwekezaja popote pale ulimwenguni. Kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Chupa hii ni ya kinywaji, mzalishaji kaamua bei ya mlaji iwe shilingi 1,100/= kwa nchi nzima, hivi sasa inauzwa shilingi 1,500/=. Wenye baa wanalalamika kuwa walikuwa wakinunua crate shs 21,600/=...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JAMANI! NIMEONA HII FURSA YA MIKOPO, NI YA KWELI? YEYOTE MWENYE TAARIFA SAHIHI AFUNGUKE TAFADHALI!! Angalia link hapo chini..Wapka.mobi
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…