Mshindi wa droo kubwa ya vodacom mahela mil 100 ametangazwa hivi punde ni mwanafunzi binti wa mwaka wa pili chuo cha ualimu Kasulu mkoani Kigoma, nasikia amezilai
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.
Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji...
Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi...
Tumekuwa tukizungumza kwa muda mrefu kuhusu customer service hapa jamvini. Leo nimeangalia kipindi cha Ruka Juu cha ITV, kwa kweli nimekuwa impressed. Hii ndiyo elimu ambayo wajasiria mali...
Imekuwa ni wimbo wa kila mtanzania, kuwa hela imekuwa ngumu kupatikana, biashara haziendi
wadeni wangu, wameshindwa kunilipa kwa zaidi ya miezi mitano sasa. Swali: hali hii ina sababishwa na nini...
Gwiji la uchumi na maendeleo duniani joe stiglitz amewatolea uvivu wafadhili wanao liangamiza bara la afrika kwa kisingizio cha demokrasia. Professor huyo aliyewahi kuwa mshauri wa uchumi wa rais...
A least three million certified professionals will be needed by the Ministry of Communication, Science and Technology in the next three years after establishment of a commission to oversee cyber...
The Tanzania Revenue Authority (TRA) is planning to install electronic fiscal devices (EFDs) in all upcountry buses to enhance revenue collection.
The move is also meant to put an end to...
nina ka frim kangu nashughulika na mambo ya ushauri na hasa kwa biashara ndogo na za kati sasa ninina mteja anahitaji ni wapi anaweza kupata chemical hizi hapa carborundum mesh 120mm, carborundum...
Siku chache zilizopita nilikuwa Jijini Mwanza ambapo niliweza kupata burudani kadha wa kadha kutokana na hali ya hewa niliyoikuta huko ukilinganisha na joto la Jijini hapa Bongo. Lakini pamoja na...
Nimeonelea ni vema tukapeana benki ambazo unaweza kufungua akaunti na Paypal na ukanunua vitu mtandaoni.
Exim najua wana master card ingawa sijajua details (sio mteja wao) lakini kwa kuwa ni...
Wana JF,
Nimekuwa nikipata taabu kidogo na kadhia ya TRA wakati wanapokuja na mdali wao kufunga vibanda kwa ajili ya kukusanya Tzs.60,000/= za kodi na pamoja na faini ambayo ni Tzs. 35,000/= zote...
Rejea mada tajwa hapo juu.
Kunekuwa na wimbi la watu Kadhaa wenye mitaji lakini wanHitaji mawazo ya biashara,mada ya leo inalenga kujadili moja wapo ya wazo la biashara linaloweza kuwafaa wengi...
THE PEOPLE'S BANK OF ZANZIBAR (PBZ LTD) MAKES A CLARION CALL TO TANZANIANS LIVING IN SWEDEN TO USE THEIR LOW FEES REMITTING SERVICES!
Ahead of the meeting of Tanzanians living in Sweden on...
Tanzania currently produces more than 1mn tonnes of rice, which makes it the second largest rice producer in Africa after Madagascar, which produces about 2.5mn tonnes. However, local authorities...