Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naombni msaada wa namna ya kulipia huduma mbalimbali kwa kutumia VISA CARD ya benki ya crdb kwa njia ya internet..Nimejaribu kuna taarifa kama CSC(card security Code) inapatikana wapi.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana jamvi baada ya kuongea na simu tigo kwa tigo nimepata ujumbe ufuatao "Umetumia sekunde 143, umelipia sh 236.67. Salio lako ni 450.93. LONGA BEI MOJA MITANDAO YOTE TZ KUANZIA THUMNI"...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ripoti ya hali ya uchumi duniani imeonesha kuwa idadi ya watu wanaoishi katika umaskini uliopindukia imeongezeka zaidi, huku jirani zetu wa Kenya na Uganda wakiwa wamepiga hatua zaidi katika...
5 Reactions
38 Replies
7K Views
kwa nini TRA wasigawe zile mashine za EFD bure kama TANESCO wanavyofanya kwenye mita ili wapate walipakodi wengi zaidi
0 Reactions
1 Replies
837 Views
wanajamii habarini za muda huu na poleni sana kwa majukumu ya kimaisha......napenda kuwauliza ni zao gani ambalo linaweza kustahimili kwenye ardhi ya mchanga hasa kwa kipindi hiki ambacho kwa hapa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa mambo makuu na ya ajabu anayoendelea kututendea. Njia zifuatazo ukizifuatisha kwa makini nilazima utaendelea kufanikiwa kuwa maskini nazo ni 1- usipende kuamka...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda. Ni kufuatia kuyumba kwa uzalisha na viwanda kuzalisha chini ya kiwango, baada ya Tanesco kutangaza mgawo. Dar es Saam. Waziri wa Viwanda na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania becomes the third country Zuku after the September launch in Uganda and August launch in Kenya. Zuku provides great premium entertainment at affordable rates. Zuku offers over 60...
0 Reactions
43 Replies
22K Views
Huwa nasikia kuna makampuni yasiyotengeneza faida hivi ni makampuni ya aina gani haya na usajili wake unakuwaje ....mifano na kama yapi !
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miaka minne iliyopita, serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), iliutangazia umma kuwa kila anayemiliki simu, lazima ahakikishe kuwa anaisajili. Ili kuhakikisha kwamba zoezi hilo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wafanyabiashara wengi hufikiria kinachoongeza mauzo ni ubora wa bidhaa zao lakini kinachoongeza mauzo ni ubora wa bidhaa zako kwenye kichwa cha mteja wako,na ubora huo huchangiwa na brand yako iko...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Ndugu wana jukwaa, hii miito ya simu (wengine wanaita hello tunes etc) mbona kujitoa ni vigumu kiasi hiki, sasa hivi wananiambia kuna muziki wanataka "kuRENEW" sasa najaribu kujitoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA UFUPI Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi Jumapili, Dk Ndumbaro alitaja sababu za Tazara kuporomoka kuwa ni pamoja na Serikali ya Zambia na Tanzania kutegeana katika uwekezaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wadau, mwenye kufahamu tofauti ya Company na limited , na ipi ni kubwa kuliko nyingine, faida ya kufungua company/limited over limited/company na taarifa zozote muhimu anijuze. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanzania vs. Kenya - economy comparison
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wana JF wote' ili kuongeza ajira kwa serikali na kuongeza wateja kwa mashirika haya naomba selikali ijitoe kukopesha wanachuo badala yake itumie pesa hizo kutoa ajira. mashirika haya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf, tunatoa michanganuo ya biashara, kwa wale wanaofikiria kufanya biashara yenye tija itakayowakwamua kimaisha. Tunapatikana mwanza, unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba 0655 761 751
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Guys, Am one of those lazy people who are always surfing around the internet and missusing my employers time. Most of the time I come across advatisements on making money online. Where one has to...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo nilienda Uchumi Supermarket pale Quality Plaza baada ya manunuzi kadhaa nikaamua nipate chakula cha mchana pale pale ndani kwenye Canteen/cafeteria yao..nikaagiza ugali kuku na mwenzangu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Habari zenu wote, Naombeni msaada wenu mara moja. Nilitaka kununua solar panel ya nguvu ya watts 100 na nyingine yenye nguvu ya watts 1000 (kW 1) ya kuweka kwenye nyumba. Kwahiyo nilitaka kujua...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Back
Top Bottom