Tangu mwezi uliyopita kumekuwa na michuano ya #foosball ambayo zimekuwa zikichezwa kwenye baa mbali mbali. WaTanzania wenzangu sijui mnaifikiriaje mchezo huu ambayo imeletwa kwenu na bia ya Heineken.
Jamani naomba msaada aliyewahi nunua gari toka uingereza kuna gari nimeiona zoomtanzania na katika kuwasiliana nikakutana na mtu anaitwa Stefan Gleixner kutoka Steff investment je kuna mtu...
Wadau wa hii biashara ya kua Travel Agent, naombeni msaada wenu wa mawazo!
Faida zake zimekaaje? Nini changamoto zake? Soko lake limekaaje kwa sasa?
Gharama za kuanzisha biashara hii ziko vipi...
Kila mtanzania anapaswa kulipa kodi kwa ajili ya nchi yake kwa mujibu wa katiba ya nchi yetu KWA LAKINI wengine hawalipi kodi? Wapo watu ni wafanyabiashara wazuri tu lakini huwa wanakwepa kulipa...
Wana JF,sijui kama kuna mmoja wenu ameshapatwa na hili,kwa kweli huduma zetu za mtandao wa TIGO siku hizi haziridhishi kabisa,mtu unapiga simu una shida ,cha kwanza simu haipokeliwi kuna number...
There will be no backpedalling on the governments resolve to implement the second phase of migration to the use of electronic fiscal devices (EFDs) in tax assessment and collection, the Tanzania...
Habari gani wanajamii natumai ni wazima na maisha yanaendelea ingawa hayana uhakika sana kama hata kesho itakua hivi au tofauti na hivi.ndugu zangu leo ninasukumwa kuandika haya kwa sababu ya...
Tunahitaji mtu mwenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya shule ya awali.Tunataka kufungua shule hiyo jijini Tanga,tayari tumeshafanya critical research na kuona fursa zilizopo ila kikwazo ni...
Wadau naomba wanaojua bei au gharama za kutengeneza DVD ya nyimbo kuanzia shooting hadi production ya DVD au VCD inaweza kuwa shilling ngapi za kitanzania. Pia naomba na maelezo ya mchakato mzima...
Dar es Salaam. Tanzania lags behind other East African countries in collecting revenue from mobile phone companies despite its huge number of subscribers.
While a small country like Rwanda, with...
Do you want to get an opportunity to attend a seminar on business skills? You can easily email us for imformation on business opportunity meeting conducted near your area. it is better if you...
NIMEPOST HII KWENYE PAGE YA TIGO WAMEIFUTA IN A SECOND!!!......... "Nawasiliana na Mwanasheria wangu kwa wizi unaofanywa na TIGO! Nimefuatilia kwa wiki moja sasa baada ya kupuuzia muda mrefu...
Ndugu Watanzania,
Imekuwepo Kasumba ya watu kusujudu vitu vya nje kufikia hata kununua fanicha za nje kama meza, makabati, vitanda wakati vya hapa Tanzania ni vyema sana. Utaona mtu anaenda...
By Staff Reporter - Arusha Times
Kenyan retailer, Nakumatt Holdings, on December 10th officially opened the doors to its latest outlet in the East Africa region, in the Tanzanian town of...
Allow farmers to export maize-lawmakers
BY LUSEKELO PHILEMON
11th April 2013
Email
Print
Josephat Kandege (MP-Kalambo, CCM)
Lawmakers are bidding the government to grant...
Matajiri wa kibongo wote wanatabia sawa kama umeshapata bafasi ya ku deal nao kibishara.
1. Wote ni waongo - atakuambia atakulipa siku fulani ila haitatokea
2. Wote ni warushi - atahakikisha...
Tanzania ni nchi inayoendelea kwa kasi katika matumizi ya simu ikiwa na wastani wa watumiaji wa simu za mkononi millioni 15, kwa wastani inasadikiwa kila mtanzania anatumia shs mia tano kwa siku...
wajameni, naomba kama kuna mfanyakazi wa CRDB AU NMB atusaidie humu, mbona nimejaribu kutumia ile huduma yao ya mpesa, yaani kama nina pesa zangu kwenye mpesa naweza kuzirisha tu kwenda CRDB au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.