Karibu tuzungumze hapa HUDUMA POA Eti nikweli Graduates wengi hawapendi/ hawataki kuanzisha biashara kwa mtaji chini ya milioni moja? Unadhani kwanini? Tujadili pia tubonyeze neno lifuatalo...
Habari za pasaka wanajamvi!
Naomba kujuzwa utaratibu! Nimepata kibarua kama consultant kwenye NGO moja iliyopo Ujerumani na wanataka kufungua office hapa kanda ya ziwa ikiwa na staff mmoja toka...
Kadri siku zinavyokwenda tunashuhudia makampuni ya simu yakifanya ubunifu wa aina mbalimbali. Tumeshuhudia tigo wakija na kabang na extreme ambayo inatumika masaa 24 ya ukweli na sio ku-expire...
wandugu wana amvi... nataka kuanzisha biashara ya kukusanya plastick ngumu na laini... nipo Arusha, kwa yoyote mwenye uelewa juu ya masoko, utaalam au chochote kinachohitajika .......please share...
Crown Paints is targeting a 50 percent market share in the Tanzanian premium paints segment. The firms chief executive Rakesh Rao said the manufacturing plant will be established within the next...
Wadau na wakui habari zenu..
Nilikuwa naombwa kujuzwa listi ya makampuni yanayojishughulisha na uwekezaji nchini ambayo ni ya watanzania
Na aina ya biashara ambayo wamewekeza
Kwa wenzetu kuna...
Ukipitia kwa hii link https://www.precisionairtz.com/index.php?id=15 utakuta destination za PW ila Mbeya haimo.
Kuna jamaa katoka nibishia as alitaka kwenda Katavi NP baada ya kuangalia iyo page...
Kuporomoka jengo lililopo Mtaa wa Indira Gandhi Jijini Dar es Salaam, huenda ikawa mwanzo tu wa kuporomoka majengo mengine zaidi hasa kufuatia matokeo ya tume iliyoundwa mwaka 2006 iliyobaini...
Kwa muda mrefu sasa Zanzibar imekuwa katika hali mbaya ya kiuchumi huku wanachi wake wakihangaika na kutapatapa katika kuokoa maisha yao kwahali yoyote ile.
Ukifuatilia historia, Zanzibar...
Habari za leo wananchi.
Nina wazo la ku-develop website ambayo inaweza kuwa ya msaada kwa wenye maduka ya biashara na watumiaji wa nyumbani. Kabla sijafanya hivyo, inabidi nifanye homework kidogo...
Wana JF, Habari za majukumu.
Kuna utafiti nafanya kuhusu Bank Charges. Sasa Nahitaji Tariff Guides za Banks Mbali mbali za TZ, So far nimeshapata za bank kama Tano hivi. Sasa Kwa Yeyote anayeweza...
Habari za mchana. Nilienda brela kuandikisha kampuni wakaniambia baada ya name clearance, nipeleke documents kama tano hivi na laki 3. Hiyo ni bei sahihi na idadi ya documents? Maana nimeona...
Ndugu wa JF, wafanyakazi serikalini na sector binafsi ukiachilia mbali wafanyabiashara watakuwa wanajua maumivu wanayoyapata kwenye makato ya mshahara (yaani PAY AS YOU EARN). Lakini hii sector...
Wadau ktk muda ambao sikutarajia nimepata mil 10 kutokana na mikopo kwa wafanyakazi niliopewa na benki yangu kama mfanyakazi - sikutegemea kabisa japo nilikuwa natafuta fedha hizi muda mrefu...
Wadau Salaam!
Ninataka kuanzisha biashara ya ksuindika na kuuza maziwa na hivyo ninataka business plan. Nani anaweza kuandika plan ambayo inaweza kushinda mkopo wa benki?
Wakuu niliwahi kuwaandikia Wizara ya Mifugo kuhusu muongoza wa Kuingiza Mifugo Nchini hasa Kuku kutoka Nchi Jirani, Sijajibiwa mpaka leo na Kesho, na hiyo ni wizara inayo tumia kodi zetu
so kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.